mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,093
- 4,925
BabayaroChelsea ya akina Zola na Gus Poyet hii
Deschamps
Eddie de Goe
Frank Lebouf
Criss Sutton
Dan patrescu
Vialli
Desail
Di Matteo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
BabayaroChelsea ya akina Zola na Gus Poyet hii
Na alicheza world cup kwa nchi mbili tofauti
Afu mane anaonekana ana mkunyenge wa kwenda. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Soccer soccer soccer
Mpira ni mojawapo ya mchezo pendwa duniani kote na umetengeneza ajira kwa vijana ,wakivuta pesa ndefu sana.
Picha huongea ukitizama picha unakumbuka kitu au tukio fulani ,picha ni kumbukumbu nzuri sana kumbukumbu ya kudumu.
Hapa ni mwendo wa picha mbalimbali za wachezaji na matukio katika soccer ,chochote kinachohusiana na soccer.
.........Walete katiiiiiiiiiiii.........
[emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460][emoji460]View attachment 2111711View attachment 2111712View attachment 2111714View attachment 2111715
AsanteNa alicheza world cup kwa nchi mbili tofauti
Yugoslavia na USSR
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mtu kakosa hapo.. [emoji23]
Hii game na Argentina mwamba alienda hewani si mchezo.[emoji460]Francois Omam-Biyik [emoji460]View attachment 2111739View attachment 2111740
Finidi George, "kibichwa nkurungu"[emoji460]Finigi George [emoji460]View attachment 2111772View attachment 2111773
Super tall.View attachment 2111777
Torre Andre Floo
Fundi wa mpiraView attachment 2111819
Michael Laudrup from Denmark ana ndugu yake anaitwa Brian
Namuona petit[emoji460]Papa Bouba Diop [emoji460]View attachment 2111744View attachment 2111745View attachment 2111746View attachment 2111747
Keeper mzur sana huyuView attachment 2111843
Nilimpenda huyu kipa Brad Friedel Mmarekani Mwenzangu wa Tukuyu
Hiyo ilikuwa nusu fainali, hii game man u waliitawala, walikosa magoli kibao, mistake moja tu, kipa akala umeme, ferdinand akakaa goli... Hii Portsmouth ilikiwa hatari, kina kanu(ndio alifunga goli la fainali na kuwa man of the match), David james golin, mkongwe sol Campbell, suley muntari, distin, lasana diarra(bichwa nkurungu [emoji23]), john utaka fundi wa kinaijeria, niko kranjcar(mido mnyumbulifu, kama haendi ndio anaenda, pigo za kina kaka) papa bouba diop kizazi cha dhahabu cha senegal iliyomtoa mafua france 2002, milan baros chini ya moja ya makocha bora kabisa harry redknapp,View attachment 2111831
Kama sitakosea sana Man U aliuwawa FA cup Fainali
Akawazamisha waitaliano wenzie.
Leeda ilikuwa ya moto saana
Nilikuwa naikubali mnoo hii striker.... Kuna kipindi tetea kuwa ni teja, jamaa akatia kambani halafu akaenda kushangilia kama ananusa unga. [emoji23]View attachment 2111858Uhakika tayari Robbie
Haoa walituheshimisha saana waafrika, hii naijeria hii haitakuja tokea.