Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,839
- 7,924
Batez[emoji460][emoji460]View attachment 2117257
Batez[emoji460][emoji460]View attachment 2117257
alikua anapiga foul mbaya sana,.kwa kutumia mguu wa kushoto
mechi ya kwanza man u alifungwa pale bernabeu, raul alitupia goli mbili,Ronaldo orijino vs ukuta wa Man Utd...alipiga Hatrick na akapata Standing Oviation pale Old Trafford takribani miaka 19 iliyopita
View attachment 2111869
Hii mechi nilliona ila sikumbuki ni mwaka gani rio fed alidaka.Hii ilikuwa nusu fainali ya fa cup ilipigwa Old Trafford, kipa Tomas Kuszak alikula umeme na sub zikawa zimeisha, hivyo Rio akaenda golini, lakini alishindwa kuzuia mkwaju wa Sulley Ali Muntari