Ngoma ilkua tam saaana,full vjna kupgwa effect wanageuka mbwa...Itakuwa hata sura inaonesha umri ulikuwa bado.
2.5 Bil kumchukua drake!Mtu mzma Snoop Dogg mbona ashapotea kwenye game kitambo tu na saiv kabaki kama legend tu,, kama kwel wapo serious watulete mtu kama drake au Kendrick hapo ndo ntawaelewa
2.5 Bil kumchukua drake!Mtu mzma Snoop Dogg mbona ashapotea kwenye game kitambo tu na saiv kabaki kama legend tu,, kama kwel wapo serious watulete mtu kama drake au Kendrick hapo ndo ntawaelewa
Walishindwa nini kumteka Chriss Brown alivyokuwa hapo Mombasa juzi, akatumbuiza fasta na kusepa...! mpaka watuletee mzee
Clouds kwa kupenda maveteran, inamaana hadi sasa hawajawa na ubavu wa kuchukua wasanii walio kwenye peak?
Nyie ndo wale watz wasioujua mziki mzuriMbona wanatuletea wazee? Si bora hiyo hela angepewa yote kingkiba amalize mchezo
Duh !pana mwaka walikuja wale lost boyz basi backstage ulikuwa unafuka moshi kama kuna sherehe ya kijiji na pamewashwa moto wa kutosha.Ngoja nikaweke order ya jani la kuvuta na Uncle Snoopy
Chriss brown billion babaWalishindwa nini kumteka Chriss Brown alivyokuwa hapo Mombasa juzi, akatumbuiza fasta na kusepa...! mpaka watuletee mzee
Nina hakika amsha amsha itakuwa kubwa tu,mafans wake wapo wengi tu wanaojua music..na inaweza kuwa Kali kuliko hata hao mnaowafikiria nyieNasikitika huo uwanja hautakua na waitikiaji wa kutosha teh
Mwaka gani huo bro,ilikuwa wap?Duh !pana mwaka walikuja wale lost boyz basi backstage ulikuwa unafuka moshi kama kuna sherehe ya kijiji na pamewashwa moto wa kutosha.