ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
umesikia vibaya ni soggy doggy sio snoop
Unafuata umri wake huko au unafuata kuburudika na midundo yake?Mbona wanatuletea wazee? Si bora hiyo hela angepewa yote kingkiba amalize mchezo
neyo wa nini wewe sisi tunataka hip hopbora wamfuate neyo
T.I. walimpa sh ngapi?Justin bierber uwezo huo si watafilisi medie
sijuiT.I. walimpa sh ngapi?
alitoa shi ngap mkuu?Hiyo ela ya chris aliyotoa yule gavana sio ya kitoto
Clouds kwa kupenda maveteran, inamaana hadi sasa hawajawa na ubavu wa kuchukua wasanii walio kwenye peak?
Level IPI unayoizungumzia wewe ?Katika hao waliopo kwenye peak nani yupo katika level za snoopy?na akija kweli huyo snoopy nadhani huo uwanja itabidi uongezwe!
mmh ndo maana Ruby alikataa.
kwanini wasimlete hata Rihanna?
au Beyonce?
au Drake?
J~Lo?
wanapenda bei nafuu eeh?
Anakuja French Montana na Dj Khaleed!!
~take it to the head~
[size]
Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka.
View attachment 420875 View attachment 420872
View attachment 420872
View attachment 421881
View attachment 421882
Kwa kingiilio cha buku 10 atakujaje chriss brownUbavu huo wapate wapi Kaka,watawaleta hao ambao washaisha katika game
Hebu igeuze kwa kinyume kisha uisome utaelewa maana yake ni
"Satan is God"
Snoop aliimba akasema "If you want to come in my home...u hv to accept "God si Natas""
Akarudia tena u have to realise that.
Snoop, Shaggy na Rihanna ni Wanamuziki wakubwa wawili waliomtukana sana Mwenyezi Mungu katika baadhi ya nyimbo zao.