Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,692
- 15,743
- Thread starter
- #141
Sasahivi kuna simu nyingi zinachuana na Samsung na Apple, unakuta Apple na Samsung hawajaziacha parefu hizi simu.afu kuna simu inaitwa nothing phone naona inatangazwa sana hasa kweny soko la india na ulaya japo inatengenezwa england hii sim namuanzilish ni yule jamaa aliekuwa anamilik one plus nimeona amesem mwaka huu anatngenez sim ya ubora aa hali ya juu ya kushindana na samsung na apple kweny ubora ngoja tukae kwa kutulia tuone
Sasa sijui Nothing Phone watakuja na nini kipya. Ngoja tuone