Yangu Tecno H5Habari mwana JF.
Smart phone yako ya kwanza kutumia (kununua, kununuliwa au kupewa) ilikua aina gani?
Binafsi ya kwanza kununua iliitwa xbo
Ilikufa baada ya mwezi mmoja.
Pole. Umechelewa kuja mjini boss
NdioHii ilikua smart phone mkuu?
Aisee hizi simu nazikumbuka za promo na bei yake Ni 195k tu na inatumia Tigo line pekeee, na kabla ya Hapo kiulikua na Huawei y300 zilivumaga sanaHuawei Y511 Mlimani City kwenye promosheni ya Tigo hapo ni baada ya kuvunja vibubu vyangu vitatu tofauti tofauti nilichukua 195000 kama sijakosea ila haikuvuka laki 2
Yeah wewe unazikumbuka vizuri. Mimi nilimpelekea jamaa mmoja akaiflash ikawa inatumia mitandao yoteAisee hizi simu nazikumbuka za promo na bei yake Ni 195k tu na inatumia Tigo line pekeee, na kabla ya Hapo kiulikua na Huawei y300 zilivumaga sana
Kijana unaijua NOKIA SATE SIRII TENI ?samsung galaxy s3 mini enzi hizo niko shule siku za kufungua nampa mama aifiche kina dada wasiitumie😂