Slaa tishio CCM Uchaguzi 2015

Mkuu The Big Boss, hili nililiona siku nyingi, niliwashauri hivi jamaa zangu wa Chadema,
[h=3]Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target,[/h]Japo niliishia kubezwa, lakini hizi ni hard facts!.

Pasco
 

we kijana ntwara kwemaa...!
-tumia akili kuandika post zako na siyo makalio!
 

kwahiyo wewe ccm kutaawala milele ni furaha kwako na sio kutuletea maendeleo.. Wahurumie hata ndugu zako wanaokosa dawa hospitalini. Hii bahati uliyoipata kushinda humu jf usiitumie vibaya.
 
kwahiyo wewe ccm kutaawala milele ni furaha kwako na sio kutuletea maendeleo.. Wahurumie hata ndugu zako wanaokosa dawa hospitalini. Hii bahati uliyoipata kushinda humu jf usiitumie vibaya.

Rafiki wapoteza MUDAO bure kuongea na kikaragosi kilichozoea kupewa pesa za wizi............Hao kaka ni kati ya wale wachache waliogawiwa lile fungu la pesa ya MBOGA aka ESCROW?
 

Mkuu The Big Boss, hili nililiona siku nyingi, niliwashauri hivi jamaa zangu wa Chadema,
[h=3]Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target,[/h]Japo niliishia kubezwa, lakini hizi ni hard facts!.

Pasco

TULIENI, SIKILIZENI. HIYO MNAYOSEMA NI MAMBO ZA KUPITA ZIMESHAPITA 2010 IMESHAPITA MSIFANANISHE 2010 SAWA NA 2015. HAIWEKEZANI NA HAITAWEKEZANA USANII ULIOFANYWA 2010 HAUWEZI KUTOKEA 2015 MAWAZO YENU NI FINYU SANA NA KWA KUWASAIDIA KIDOGO HEBU ANGALIENI CHAGUZI ZA SERIKALI ZA MITAA 2010 NA ZILIZOFANYIKA KIPINDI HIKI JEE MATOKEO YAKO SAWA? UKIWEZA KUJIBU HILI NTAJUA MKO SAWA BONGO ZENYU.
HIVYO BASI HALI ILIYOPO SASA 2015 SIO ILE MLIYOIONA 2010. 2015 INACHANGAMOTO AMBAZO HATUJAWAHI KUZIONA TANGU TAIFA HILI TANGANYIKA aka TANZANIA LIZALIWE NA SASA TUTAZIONA.
HAYO MNAYOSEMA SLAA ALISHINDWA NI KWENYE MAKARATASI TU YA USANII AMBAYO THIS TIME HAYTATUMIKA. NA MIOYONI MWA JAMII NI WENGI WAMEMKUBALI DR. SLAA NA WATALIONYESHA HILO NOW! 2015 FOR UKAWA NA KWA TAIFA JIPYA LA TANZANIA.
 
Mkuu The Big Boss, hili nililiona siku nyingi, niliwashauri hivi jamaa zangu wa Chadema,
Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target,

Japo niliishia kubezwa, lakini hizi ni hard facts!.

Pasco

Shemeji yangu Pasco tuko vizuri na tunachukua ushauri wako kwa umakini na chini chini.............Ukiona kimya ujue.........Niambie tu wapi wataka kupeleka NIA?Tabora au Shinyanga?Mradi tu isiwe kule Lumumba basi...........:welcome::welcome:UKAWA
 
Dr slaa ndio rais wangu ajaye.


Kura yangu anayo,!!
 
ukweli ni kwamba slaa kupata urais nchi hii haiwezekani. hilo hata slaa mwenyewe analitambua. pili, nikunyooshe kidogo, slaa hakufikisha kura hata milioni 4. zilikuwa ni kama 3.4 mil sawa na about 30% akifuatiwa na Prof. Lipumba akiwa na kura kama laki7 hivi.

 
waonyesha unamapenz ya kweli atii:A S 109:

Hahahahah na nani?Upinzani?Maweeeeeeeeeeeeeeee Siku ilipotangazwa UPINZANI rukhusa basi zile kadi za kijani zote pamoja na katiba zake zilichomwa moto................

Maana enzi zile ilikuwa upende usipende lazima uwe mwanachama wa kijani vinginevyo hutapata shule,chuo wala kazi.............Hivyo tulivyomaliza tu kale kajeshi kwa kujenga Taifa hiyo ndiyo ilikuwa Zawadi ya kuanzia maisha ya uraiani.................Hivyo hasira zote ilibidi nifanye hivyo..............
 
Je unajua kuwa Konyagi ni gongo kiwanda chake kiko mitaa ya viwanda ya Chang'ombe? Hicho kiwanda ni wazo la Slaa? Umri wa kiwanda hicho si zaidi ya umri wako,? Ni rekodi ipi unadhani imevunjwa ?

Konyagi siyo gongo, gongo ina methanol ambayo huuwa macho na husababisha mikono kutetemeka. Kiwandani wanakuwa na mechanism za kuondoa au kupunguza methanol. Wanaokataza gongo siyo machizi, wanajua in mathara, na ni tofauti na pombe kali za viwandani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…