Kama wewe sokomoko ungekuwa siyo mnafiki ungetusaidia sana kuizuia nchi yetu kutojiunga na OIC au kuongozwa na mahakama ya kadhi (sharia courts) Vinginevyo umeandika ujinga na upuuzi unaodhihirisha chuki zako binafsi au za wale unaowatumikia dhidi ya wanasiasa makini. Hii mbinu ya kuchanganya siasa na dini ili kuwachafua baadhi ya wanasiasa, wajanja wameishaishtukia. Harakisha kabla hujachelewa kufundisha hizo siasa potofu kwenye madrassa na masjid huko bado unaweza kuwapata vilaza wachache waliosalia.