Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

Amejiandaa wiki mbili za mwisho kumtukana Lowassa.Huyu mzee kweli kachanganyikiwa.Haamini kama kweli watu wamemtosa. Mi mwenyewe nilikuwa nakupenda sana lakini kwa sasa NIMEMDHARAU upeo!!!Sipendi watu WAJINGA mimi.

Chagadema mlikuwa na katibu mkuu mjinga miaka yote hiyo !? au mjinga ni yule anaye beba kinyesi cha fisadi !?
 
Lowassa ndo ana maadili !? au yule 'Mwenyekiti' aliye enda kupiga mikasi na hawara kwa allowance ya Bunge hapo Dubai!? kibaravumba

kaka yangu Ally Kombo ccm wametudanganya miaka nenda ya kutupatia mahakama ya kadhi na wakatianzishia bakwata si kwa waislam bali kwa manufaa yao bado hujashtika tu'

toroka uje my brother
 
Last edited by a moderator:
Ninamhurumia sana Kikwete. Laiti kama bidii na nguvu anazotumia kupambana na Mungu angeitumia kuboresha maisha , leo hii Tanzania ingelikuwa ni hadithi nyingine duniani.

Maskini Jakaya anaponzwa na kutokumjua Mungu wala Uweza wa Nguvu zake. Mwisho wa yote atawaponza na anoawatumia kama vile farao wa Misri alivyowaponza wamisri na wanajeshi wake katika bahari ya shamu wakati kawatuma kuwafukuzia wana wa Israel.

Hivi Ccm kwa nini hammpi ushauri huyu mtu? Ni nani alimdanganya kwamba Tanzania ni mali ya ccm? Atasemaje kwamba Tanzania inautawala wa kidemokrasia ikiwa yuko tayari kumtumikia shetani hata kuangamiza taifa ili mradi maslahi yake yalindwe?


Kikwete amefanya nini kibaya hicho ambacho anatumia kila njia kuhakikisha anaweka mamluki wake serikalini la sivyo huu utakuwa mwisho wake?


Kwa nini asikumbuke namna Watanzania walivyomkabidhi nchi ikiwa na ahueni tena kwa amani na kumwacha kwa miaka kumi hata alipokuwa ameiharibu nchi namna hii?

Ni binadamu wa namna gani aliyejaa viburi, visasi na uharibifu mkuu namna hii?


MWAMBIENI HAWEZI KUWA NA UWEZO KULIKO MUNGU. MWISHO WA SIKU LAZIMA MUNGU AJITUKUZE.

Lowassa ni mungu !? Mh. Mkapa hakukosea kuwapa sifa mnayo stahili ! Tabby
 
Last edited by a moderator:
kaka yangu ally komnbo ccm wametidanganya miaka nenda ya kutipatia mahakama ya kadhi na wakatianzishia bakwata si kwa waislam bali kwa manufaa yao bado hujashtika tu'

toroka uje my brother

Mahakama ya Kadhi haitakuja kupitia Mlutheri aliye anzisha MoU kwa manufaa ya Wakiristo !
 
Last edited by a moderator:
Maskini kodi za Wananchi,watoto wanakaa chini,wakina mama wanajifungua vichochoroni,vijana wameharibika kwa madawa ya kulevya,wananchi wanachangishwa ujenzi wa maabara huku mamilioni yanalipwa kwa wapinga demokrasia na wabakaji wa weledi pamoja na kununua wanasiasa mamluki..Eee MUNGU, OKOA TANZANIA kutoka katika rangi ya Kijani na njano!!MTANZANIA kwa kupiga kura yako moja kwa LOWASSA utakuwa tayari umeikomboa nchi yako!!

View attachment 293459

Hizo ndizo zilizo mtajirisha Lowassa mpaka akamnunua Mbowe, Mtei na Mr 0 !
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini dar es salaam jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know
hahahaha kwa hapa tulipo hatuwezi rudi kwenye ujima .nadhani kila mtu anakumbuka ujima namna ilivyo kuwa shida kuwabeba mabwenyenye yenye matumbo makukwa kilo 120 wakati mmebaji una kilo 40
 
Hata watoto wadogo wanajua kuwa Dr Slaa ni simba wa mabua kwa mantiki kuwa han'gati na hata aking'ata hadhuru (doesn't harm). Hivyo labda awafurahishe tu waliomlipa na kumchagulia nyimbo za kuimba, lakini kwa hakika MADILIKO ni lazima na hayakwepeki katika zama hii ya leo.
 
nauliza tena, je, Slaa anaona bora ccm kukaa madarakani kuliko Lowassa/cdm/ukawa?
 
Hivi bado ana-impact yoyote huyu mtu? Labda aitishe conference ya kuchukua kadi rasmi ya ccm,! Hata hivyo,nadhani hii tamaa ya Dr na Mkewe imepita kipimo. Mungu atawahukumu hapa hapa,

Haijapita tamaa ya Lowassa ya kumnunua kila mtu ili aende Ikulu !
 
Huyu Dr ---- tu naye hana lolote! akafia mbal mbomu lake kwamba ni mke! mke wake mwnyw wa kugongea bado analeta shida
 
Back
Top Bottom