Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

Alitumia muda mwingi kujijengea heshima mbele ya wa-Tz kwa bahati mbaya njaa ikamfanya atumiea dakika kadhaa kujipotezea heshima,leo hii kipindi kama hiki hakuna anaemjali tena kwishaaaa
 
Hela walizokula ni nyingi sana kuliko kazi walioifanya.
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know

Slaa ndio nani na anagombea uraisi, ubunge au udiwani?
 
Na mahaba yenu mmehamishia kwa Lowassa, mpo bize na kinyesi!

shetani anakutumia atakavyo na unachanganya na zako umeshindwa kujinasua pole sn.uzima na afya.ugonjwa na mauti vipo katika uweza wa MUNGU peke yake.
 
Nawe umejinyea Topic imeanza na TETESI lakini habari unatuambia jana amerejea tuwe wa kwanza kujua.
 
Hana impact kwa watanzania masikini. Alishachukua chake mapema. Hatubabaishwi na Ubango wa panzi.
 
Back
Top Bottom