Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
Kama alipewa mpunga kwa ajili ya kazi na kazi haijakamilika lazima aifanye tu hata kama hataki, ndio shida ya kutumika.
Kama Lowassa anavyo watumia UKAWA ! Mbowe uso umemkomaa kwa kuzibeba aibu za Lowassa. kutumika ni shida ! Samaritan
Last edited by a moderator: