Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

Dr. Slaa ana akili kuliko wasanii waliobaki CHADEMA. Anakuja na bomu ambalo nyie wenyewe hamtaamini.Kujua impact ya Slaa, subiri siku si nyingi.

Hakuna mtu mkubwa zaidi ya Taasisi
 
Hahahahahaa....ameona tangu kaondoa ameishia kuandikwa na gazeti la sani......mwee hii sio kuporomoka kisiasa bali ni kufa kisiasa...pole babu cassava tulikupenda lakini Josephine kakupenda zaidi....
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know

Dr. mihogo kwa sasa profile yake km aunt ezekiel tu,labda aje kucheza bongo movie!!
 
Hivi bado ana-impact yoyote huyu mtu? Labda aitishe conference ya kuchukua kadi rasmi ya ccm,! Hata hivyo,nadhani hii tamaa ya Dr na Mkewe imepita kipimo. Mungu atawahukumu hapa hapa,
Nadhani Mungu ataanza na kumlipa Mbowe kwa uzandiki wake
 
Amejiandaa wiki mbili za mwisho kumtukana Lowassa.Huyu mzee kweli kachanganyikiwa.Haamini kama kweli watu wamemtosa. Mi mwenyewe nilikuwa nakupenda sana lakini kwa sasa NIMEMDHARAU upeo!!!Sipendi watu WAJINGA mimi.
 
hana mvuto tayari,na hana jipya zaid atarudia yale yaliyosemwa miaka 8 iliyopita!!
 
Sikujua vijana wa nchi hii walivyo wapumbavu , kushabikia uozo ! Mnalitaka fisadi papa hili lifanye mini ? Lowassa hawezi kuleta mabadiriko ni jizi tu

Mkuu punguza presha kidogo ,kwani unaemwita mwizi alikuibia kitu gani ?
 
Nilijua tu mods watafuta comment yangu,ila anazokashifiwa Lowassa zinaachwa.
Sio case,mmefuta comment yangu ila hamtoweza kuifuta KURA yangu!

Kwa huu ugeni..nawashauri muongeze manunuzi ya pampaz
 
Maskini kodi za Wananchi,watoto wanakaa chini,wakina mama wanajifungua vichochoroni,vijana wameharibika kwa madawa ya kulevya,wananchi wanachangishwa ujenzi wa maabara huku mamilioni yanalipwa kwa wapinga demokrasia na wabakaji wa weledi pamoja na kununua wanasiasa mamluki..Eee MUNGU, OKOA TANZANIA kutoka katika rangi ya Kijani na njano!!MTANZANIA kwa kupiga kura yako moja kwa LOWASSA utakuwa tayari umeikomboa nchi yako!!

View attachment 293459

Chadema Wamenunuliwa Na Lowasa Kwa Pesa Lowasa Aliyoifisadi Na Ni Kodi Ya Wananchi Hilo Hulioni
 
Back
Top Bottom