Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

dr amefanya wrong turn.

Bado alikuwa na kaheshima fulani kamebaki, lakini kama amerudi afanye mambo kwa maagizo ya CCM waliokuwa adui zake wakubwa nitaamini kuwa Dr.W.Slaa ana laana ambayo hatujui aliipatia wapi. Pole yake sana na tunamwombea kwa Mungu amfunulie huyu mtumishi wake, na kama ni mchumba ndio chanzo amwepushe naye haraka sana kama sisi tunavyomwomba Mungu katika sala kuu, "Utuepushe na yule Mwovu kwa kuwa ufalme ni wako na nguvu na utukufu"
 
Last edited by a moderator:
Mwambiye kuwa tunamkaribisha. Asiisahau kadi huko uzunguni tuu aje ampe kura yake LOWASA japo kishakula hela ya miccm.
Asijaribu tu kumtusi Lowasa kwani ni kumwinua juu Zaidi. Hakuna atakachokisema kiwabadili watu tena. Hana tofauti na kina Juliana wa shuzi huyo
 
Kuna gulio linaitwa KATERERO nasikia ukinununua bidhaa huko huwezi kwenda gulio jingine.kuna ukweli?
 
siraha alikuwa na mwanakijiji wakijaribu kuangalia maneno mapya ya kuwalaghai Watanzania... tutawasikiliza bila kujali hadaa zao ili wajisifu japo kidogo
 
Hivi bado ana-impact yoyote huyu mtu? Labda aitishe conference ya kuchukua kadi rasmi ya ccm,! Hata hivyo,nadhani hii tamaa ya Dr na Mkewe imepita kipimo. Mungu atawahukumu hapa hapa,
Kwani aliirudisha hiyo kadi? au ni uzoefu wa chura kama alivyosema mzee wa spidi na standard
 
Nadhiri aliyoweka na Mungu akaikana ndo inamuanza huyu mzee
 
Nauliza kila saa mnasema chadema mpango wa mungu mkishindwa mungu wenu atuku ameshindwa?
 
Sikujua vijana wa nchi hii walivyo wapumbavu , kushabikia uozo ! Mnalitaka fisadi papa hili lifanye mini ? Lowassa hawezi kuleta mabadiriko ni jizi tu

amekuibia chupi zako?
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know

Maskini kodi za Wananchi,watoto wanakaa chini,wakina mama wanajifungua vichochoroni,vijana wameharibika kwa madawa ya kulevya,wananchi wanachangishwa ujenzi wa maabara huku mamilioni yanalipwa kwa wapinga demokrasia na wabakaji wa weledi pamoja na kununua wanasiasa mamluki..Eee MUNGU, OKOA TANZANIA kutoka katika rangi ya Kijani na njano!!MTANZANIA kwa kupiga kura yako moja kwa LOWASSA utakuwa tayari umeikomboa nchi yako!!

Mwanafunzi maskini.jpg
 
Back
Top Bottom