Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

Natamani angekuwa ni mmoja kati ya wale waliokuwa kwenye ile ndege iliyodondoka baharini!
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know
Thanks for the information. Huyu mtu anakuja kujumuika kupiga pushups.Hatakuwa
na msaada mkubwa zaidi ya huo kwa hao mabwana zake.Wengi tumeshajiset
kumpigia Lowassa kura 25/10.
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know

Alionana na Pope Francis?
 
Thanks for the information. Huyu mtu anakuja kujumuika kupiga pushups.Hatakuwa
na msaada mkubwa zaidi ya huo kwa hao mabwana zake.Wengi tumeshajiset
kumpigia Lowassa kura 25/10.

Style ya push-up haiwezi na muhimu sana kwake awe makini na yale atakayoongea asije akaishia kupopolewa kwa mawe ama kupoteza mkono wa pili...
 
Kuonana na pope kwa lipi.ili ampe ruhusa labda ya kumuoa josefin
 
Na ajaribu kuongea tena ----- wake wananchi wameshampuuzilia mbali jianaume kuuubwa linapelekeshwa na shuntama.
nimecheka sana. josephina kaharib soko la dada zetu wa kihaya kuolewa kirahis kisa shuntama. lakin niwajuavyo waliopita seminary za kikatolic roho mbaya na ubwege kwa wake zao ni kat ya zao la huko.
 
awez kumjibu gwajima ata wananchi tumchangie airtime tv awez maana askof alimwacha uchi
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know

Hatubadiliki UKAWA mpango mzima,hata azunguke Tz nzima
 
Hivi bado ana-impact yoyote huyu mtu? Labda aitishe conference ya kuchukua kadi rasmi ya ccm,! Hata hivyo,nadhani hii tamaa ya Dr na Mkewe imepita kipimo. Mungu atawahukumu hapa hapa,

kati ya yeye na Lowas nani mroho???
 
Sikujua vijana wa nchi hii walivyo wapumbavu , kushabikia uozo ! Mnalitaka fisadi papa hili lifanye mini ? Lowassa hawezi kuleta mabadiriko ni jizi tu

Magufuli ni jizi tu kajenga barabara za lami chini ya kiwango kwa kodi zetu,kauza nyumba za shirika
 
wadau.

Kuwatonya tu slaa amerejea mjini Dar es salaam Jana akitokea marekani.

Maandalizi yanafanyika kwa umakini wiki ijayo aendelee na mashambulizi.

Be first to know

Ndo analeta yale "mabomu" yake mengine aliosema amebakiza itakuwa.
 
Sikujua vijana wa nchi hii walivyo wapumbavu , kushabikia uozo ! Mnalitaka fisadi papa hili lifanye mini ? Lowassa hawezi kuleta mabadiriko ni jizi tu

Mabadiliko Lowassaaa, Lowassa mabadilikooooo mpiga pushup tupa kuleeee.
 
Back
Top Bottom