Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

hana Impact huyu ss hv, yeye anaona bora ccm kuliko Lowassa? Bora angekaa kimya angebaki na kabusara fulani
 
.. amemaliza shule? masomo gani hayo ya mwezi mmoja!
 
Dr Cassava,
Kapoteza Kila Kitu Yaani Tupa Kule
 
Kwa kweli amewaudhi wapenda mabadiliko wengi kisa mama kakataa. Je angekuwa rais hii nchi ingeendeshwa kwa amri ya Josefine cjui tungelia na nani

ZINDUKA UJINASUE wewe. Ni ulimbukeni "Kuacha mbachao kwa msala upitao!!"Mabadiliko ya kweli yangeletwa na CHADEMA original ya Dr.Slaa na sio hii ya walanguzi.
 
Kwa kweli amewaudhi wapenda mabadiliko wengi kisa mama kakataa. Je angekuwa rais hii nchi ingeendeshwa kwa amri ya Josefine cjui tungelia na nani
eti kuna mtu mmoja aliandika humu kuwa Dr. Slaa angeshinda urais hata mlinzi wa getini pale ikulu angetoka bukoba. kuna watu wanautani sana kwenye dunia hii.
 
......mwambieni akajibu hoja za Gwajima kwanza....maana chadema hatakiwi kabisa...nina hakika ameona mafuriko kwenye mikutano ya adui yake Lowassa...na nina hakika inamuuma sana hii....maana imekua tofauti na lengo lake (na mchumba wake)ovu...kama kweli karudi naona hata huko marekani hakujakalika....kukalike vipi wakati hapa bongo tu ilikua patashika ya kufungiwa nje??....LOL..
 
hana Impact huyu ss hv, yeye anaona bora ccm kuliko Lowassa? Bora angekaa kimya angebaki na kabusara fulani

Dr. Slaa ana akili kuliko wasanii waliobaki CHADEMA. Anakuja na bomu ambalo nyie wenyewe hamtaamini.Kujua impact ya Slaa, subiri siku si nyingi.
 
Ninamhurumia sana Kikwete. Laiti kama bidii na nguvu anazotumia kupambana na Mungu angeitumia kuboresha maisha , leo hii Tanzania ingelikuwa ni hadithi nyingine duniani.

Maskini Jakaya anaponzwa na kutokumjua Mungu wala Uweza wa Nguvu zake. Mwisho wa yote atawaponza na anoawatumia kama vile farao wa Misri alivyowaponza wamisri na wanajeshi wake katika bahari ya shamu wakati kawatuma kuwafukuzia wana wa Israel.

Hivi Ccm kwa nini hammpi ushauri huyu mtu? Ni nani alimdanganya kwamba Tanzania ni mali ya ccm? Atasemaje kwamba Tanzania inautawala wa kidemokrasia ikiwa yuko tayari kumtumikia shetani hata kuangamiza taifa ili mradi maslahi yake yalindwe?


Kikwete amefanya nini kibaya hicho ambacho anatumia kila njia kuhakikisha anaweka mamluki wake serikalini la sivyo huu utakuwa mwisho wake?


Kwa nini asikumbuke namna Watanzania walivyomkabidhi nchi ikiwa na ahueni tena kwa amani na kumwacha kwa miaka kumi hata alipokuwa ameiharibu nchi namna hii?

Ni binadamu wa namna gani aliyejaa viburi, visasi na uharibifu mkuu namna hii?


MWAMBIENI HAWEZI KUWA NA UWEZO KULIKO MUNGU. MWISHO WA SIKU LAZIMA MUNGU AJITUKUZE.
 
Back
Top Bottom