Slaa amerejea nchini

Slaa amerejea nchini

Ndio amekuja kuanzisha program iliyotangazwa kwenye hili tangazo la mwanakijiji nini???



Program Note: Tarehe 5/10/2015 .... Ngurumo inaanza... treni haliendi hili... Geresha kuu ya kihistoria dhidi ya Watanzania lazima ikomeshwe; mabadiliko hayabinafsiswi na hayabambikizwi... Ndugu zetu wanayo haki ya kumtaka Lowassa na uongozi wa aina yake; na tupo wenye haki ya kumkataa Lowassa na uongozi wa aina yake... katika hili hatuna wa kumwomba radhi au kibali. Kama nchi ni yetu sote basi "sote ni sote"!


Stay tuned: #OperesheniZinduka
Watafunguliwa tu!!


Program Note: Tarehe 5/10/2015 .... Ngurumo inaanza... treni haliendi hili... Geresha kuu ya kihistoria dhidi ya Watanzania lazima ikomeshwe; mabadiliko hayabinafsiswi na hayabambikizwi... Ndugu zetu wanayo haki ya kumtaka Lowassa na uongozi wa aina yake; na tupo wenye haki ya kumkataa Lowassa na uongozi wa aina yake... katika hili hatuna wa kumwomba radhi au kibali. Kama nchi ni yetu sote basi "sote ni sote"!


Stay tuned: #OperesheniZinduka
Watafunguliwa tu!!
 
Ok tukubali Lowassa ni mchafu....then what is the way forward..
Kwenye List of shame kwa nini yeye peke yake anazungumzwa....
Je ni kwa sababu anagombea uongozi,kama ndiyo vipi kuhusu walioko madarakani na wametajwa kwenye list..
Chadema wako strategic saana,walijuwa EL atakuwa next Presida kupitia ccm ndiyo maana wakaanza kumchafuwa ili wao Chadema washinde kiurahisi.
Mimi naamini wako mafisadi zaidi yake na wengi wanatumika kwa kulipwa kuendelea kumchafuwa lakini siku ya siku mbele ya Mungu wetu hatujui watsema nini.
 
Ok tukubali Lowassa ni mchafu....then what is the way forward..
Kwenye List of shame kwa nini yeye peke yake anazungumzwa....
Je ni kwa sababu anagombea uongozi,kama ndiyo vipi kuhusu walioko madarakani na wametajwa kwenye list..
Chadema wako strategic saana,walijuwa EL atakuwa next Presida kupitia ccm ndiyo maana wakaanza kumchafuwa ili wao Chadema washinde kiurahisi.
Mimi naamini wako mafisadi zaidi yake na wengi wanatumika kwa kulipwa kuendelea kumchafuwa lakini siku ya siku mbele ya Mungu wetu hatujui watsema nini.
Politics is the game of tactics, ukifanya kosa mwenzio anakuadhibu hapo hapo.
 
Hivi bado ana-impact yoyote huyu mtu? Labda aitishe conference ya kuchukua kadi rasmi ya ccm,! Hata hivyo,nadhani hii tamaa ya Dr na Mkewe imepita kipimo. Mungu atawahukumu hapa hapa,

Dr Slaa anajitahidi kuwaepusha na balaa lkn nimeamini sikio la kufa halisikii dawa.
 
Dr Slaa ni rafiki wa wapinga mafisadi.tunamkaribisha sana aendelee na mapambano ya USHINDI
 
Yani akijaribu kuifagilia ccm watashangaa atakavyokuwa amemwongezea Lowassa kura za hasira. Mungu akishapanga jambo alipingae afanya kazi ya bure

Hawezi kuifagilia CCM ila atawashauri muwapigie wabunge na madiwani wengi wa chadema lkn lowasa msimpe kura kwani hafai kuwa rais na ataangamiza taifa. Mabadiliko hayawezi kuletwa na rais bali bunge. Jazeni bunge upinzani mtafurahi.
 
Hawezi kuifagilia CCM ila atawashauri muwapigie wabunge na madiwani wengi wa chadema lkn lowasa msimpe kura kwani hafai kuwa rais na ataangamiza taifa. Mabadiliko hayawezi kuletwa na rais bali bunge. Jazeni bunge upinzani mtafurahi.
kawadanganye wauza mihogo....kuwa slaa ni mteja wao
mabadiliko ni rais
 
Nadhani baada ya uchaguzi kamanda Mbowe na wenzake watakimbia nchi. Hawataweza kukaa nchini kwa hali ilivyo. Na ni wazi ukawa tutashindwa. Hatuna mgombea. Hili lilikuwa ni dili la hela tuu.
nakupendaje......wewe ukawa
slaa na gwajima walimpeleka lowassa kwa mbowe
slaa alimwomba gwajima amkutanishe na kumlainisha lowassa akubali kujiunga cdm
cdm wakaona lowassa ana mvuto kuliko slaa...sasa hapo ikala kwa slaa
 
Kuna siku ukweli utaekwa wazi.

Shikamoo fedha

Kiti kapewa mwenye zumari
 
Kwanza mpaka tuone picha ndiyo tujadili kwa kina,ila kama ataendelea na ugomvi wake na umma WA tz tuite Ni tamaa ya ela,madaraka au wivu WA lowasa kumzidi umaarufu?
 
Back
Top Bottom