SKONGA: Kipindi 'kinachovua nguo' wanafunzi

Mazao ya kuporomoka kwa elimu chanzo chake ni Nyerere na vibaraka wake, nani alifuta masomo ya History na Geography mashuleni? na nani kayarudisha?

Naona umerudi kulaumu na kulalamika (sishangai), niilifikiri utanieleza hizo product nzuri zinazotengenezwa ulizozisema ghafla umerudi kwa Nyerere!!

Kwa mantiki hiyo wanafunzi hawaelewi hayo kwa sababu Nyerere alifuta History na Geography. Hebu tuendelee kwenye mjadala wetu kuhusu "best result" za walimu watakaokuja (achana na wa History na Geography kwa sababu Nyerere "aliharibu").
 
Imebidi nicheke. Unazungumzia hawa Walimu wa toleo la kipindi hiki!! Nina bahati ya kuishi nao ama kukutana nao..Ni msiba! Tena ukiongezea na ugumu wa maisha "product" zitakazotoka baada ya miaka 5 ni balaa mara mbili ya hili tulilonalo.

sijui FaizaFoxy kalishwa limbwata la aina gani na uongozi huu. Dada hasikii haambiwi. Hajui kuwa voda fasta ni zao la awamu hii ya nne? Hajui kuwa katika awamu hii waliofeli ndio wengi kuliko waliofaulu?
 
Last edited by a moderator:
Labda hujuwi mipango na mikakati ya elimu inavyokwenda sasa hivi. Big Results.

mkukuta, mkurabita, ari mpya..., maisha bora kwa kila mtanzania, vision 20-25, kilimo kwanza, vua gamba, na sasa big results now. Hadi muondoke madarakani tutashiba misamiati
 
wanafunzi kutokujibu waliyofundishwa kwa maswali ya papo hapo ni kawaida
ndo maana shuleni mtu swali moja anakaa dakika kadhaa au analiacha kwanza anaanza na mepesi

ishu hapa ni general knowledge
wengi ndo aibu hapo
na hili ni aibu ya nchi nzima
wanafunzi na wazazi wao

Lol.... Ati wanafunzi na wazazi wao!
Google "answer" is at a touch of a thumb!
 
Waziri wao tu ana slip of the tounge mpaka hajui mambo ya muungano lol ila huyo mtoto wa tabora na mtemi ametisha halafu form iv anayependa history.
 
He he he, basi wewe ulikuwa msongo

Mie nilikuwa nikiona wanafunzi wa special skul nataka nibadilishane nao vimiminika, angalau nibahatishe mtoto mmoja kipanga.
Ilikuwa raha jamani khah!

dooh ..wee mwana weee!!
 
sijui FaizaFoxy kalishwa limbwata la aina gani na uongozi huu. Dada hasikii haambiwi. Hajui kuwa voda fasta ni zao la awamu hii ya nne? Hajui kuwa katika awamu hii waliofeli ndio wengi kuliko waliofaulu?

Hao waliofaulu mwaka mmoja tu uliopita ni wengi kuliko wote waliokuwa wanasoma sekondari kipindi cha Nyerere. Kumbuka hilo.
 
mkukuta, mkurabita, ari mpya..., maisha bora kwa kila mtanzania, vision 20-25, kilimo kwanza, vua gamba, na sasa big results now. Hadi muondoke madarakani tutashiba misamiati

Kuondoka madarakani, tumpe nani aongoze? Slaa? au DJ? - Wewe kweli umeichoka hii nchi.
 
Naona umerudi kulaumu na kulalamika (sishangai), niilifikiri utanieleza hizo product nzuri zinazotengenezwa ulizozisema ghafla umerudi kwa Nyerere!!

Kwa mantiki hiyo wanafunzi hawaelewi hayo kwa sababu Nyerere alifuta History na Geography. Hebu tuendelee kwenye mjadala wetu kuhusu "best result" za walimu watakaokuja (achana na wa History na Geography kwa sababu Nyerere "aliharibu").

Hao waalim unawaona waona leo hii wabpvu ni zao la kuharibiwa elimu na Nyerere na vikaragosi wake. Subiri uone mfumo ulivyobadilishwa na uone miaka ijayo zao litakalotoka.

Kikwete amenza na mashule, kila moto awe na uwezo kusoma Sekondari. Hii haijawahi kutokea kabla yake ni rekodi ya pekee, shule zaidi ya 5000 za sekondato kwa miaka 7 tu. Linganisha na shule chini ya 2000 kwa miaka 45 ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.

Hali kadhali vyuo vikuu, zaidi ya 45 kwa wakati wake tu, linagnisha na vyuo visvyozidi 5 kwa miaka 45 ya hao niliowataja hapo juu.

Bado unalo?
 
Nakumbuka tulivyokuwa shule, enzi hizo tupo darasa la tano tulikuwa na Mwalimu wa English, (singa singa) Tukimuita Mr. Singh. Kipindi chake ni lazima aje na gazeti la siku hiyo, siku hizo likiitwa "The Standard" na akifika tu darasani kwenye kipindi chake baada ya Good Morning Sir.,neno lake la kwanza ni "Ok, its now Standard time" na kila siku ni lazima wanafunzi watatu waanze kwa kusoma kwa sauti article moja nzima kila mmoja. Imagine General Knowledge na polishing ya Kiingereza iliyopatikana hapo.

Heri mliosoma kipindi hicho, leo shule hazina madarasa mwalimu mmoja wanafunzi mia, kama chalks tuu hakuna unategemea Daily News litakuwepo?

Program nyingi kwenye vyombo vyetu vya habari bado hazimjengi mwanafunzi, TBC walitakiwa wawe na channel ambayo ni maalum kwa vipindi vya sayansi, historia etc. Magazeti machache yenye education and technology pullouts hayafikii wanafunzi.

Naona kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na mfumo wa elimu utakao jumuisha matumizi ya mitandao na vyombo vya habari.
 
Huenda ukawa sahihi kwamba tulianguka wapi, kosa letu tumeshindwa kutengeneza na hali inazidi kuwa mbaya!

Hali inakuwa nzuri sana, nchi imebomolewa kwa miaka 45, kuiona ilivyo sasa ni muujiza wa Kikwete. Hilo anastahili kila sifa.

Leo hakuna asiye na fursa ya kwenda sekondari. Uliyajuwa hayo kabla ya Kikwete?
 
Umeshavimbiwa futari sasa unatuletea mashuzi tu hapa, wewe kwa Nyerere ni sisimizi tu na wala hapatakuwa na FaizaFox day wala Mwinyi day wala Kikwete day, ila ipo Nyerere day na itaendelea kuwepo, na Nyerere ndio symbol ya Tanganyika & Tanzania, huu ndio ukweli ambao hutoweza kuubadili kwa post zako uchwara hapa JF.

Kwa misukule tu. Ngoja siku Jerry Slaa akishika Urais uone kama kutakuwa na upuuzi huo.
 
Hao waalim unawaona waona leo hii wabpvu ni zao la kuharibiwa elimu na Nyerere na vikaragosi wake. Subiri uone mfumo ulivyobadilishwa na uone miaka ijayo zao litakalotoka.

Kikwete amenza na mashule, kila moto awe na uwezo kusoma Sekondari. Hii haijawahi kutokea kabla yake ni rekodi ya pekee, shule zaidi ya 5000 za sekondato kwa miaka 7 tu. Linganisha na shule chini ya 2000 kwa miaka 45 ya Nyerere, Mwinyi na Mkapa.

Hali kadhali vyuo vikuu, zaidi ya 45 kwa wakati wake tu, linagnisha na vyuo visvyozidi 5 kwa miaka 45 ya hao niliowataja hapo juu.

Bado unalo?

Mimi na wewe na pengine wengine tulikuwa tunaangalia quality sio quantity. Hata kama watoto wote watapata elimu ya sekondari kama kichwani hamna kitu ni bure kabisa, afadhali hizo resources wangenunulia pembejeo za Kilimo angalau tuondokane na aibu ya njaa!
 
Mimi na wewe na pengine wengine tulikuwa tunaangalia quality sio quantity. Hata kama watoto wote watapata elimu ya sekondari kama kichwani hamna kitu ni bure kabisa, afadhali hizo resources wangenunulia pembejeo za Kilimo angalau tuondokane na aibu ya njaa!

Hizo fikra zako ni finyu sana. Hakuna nchi duniani inawacha kusomesha watoto wake walio wengi na kusomesha watoto wachache ili ipate quality. Mass education ndio pekee inayoendeleza taifa kwa kuwa na wasomi na si vingine.

Ikiwa mawazo ndio kama hayo yako, tuna kazi, kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu kama wewe.
 
Hizo fikra zako ni finyu sana. Hakuna nchi duniani inawacha kusomesha watoto wake walio wengi na kusomesha watoto wachache ili ipate quality. Mass education ndio pekee inayoendeleza taifa kwa kuwa na wasomi na si vingine.

Ikiwa mawazo ndio kama hayo yako, tuna kazi, kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu kama wewe.
1001720_312090075603753_1357326700_n.jpg Ange-Kagame-left-President-Paul-Kagame-Centre-and-Cyomoro-Ivan-KagameT.jpg
 
Hizo fikra zako ni finyu sana. Hakuna nchi duniani inawacha kusomesha watoto wake walio wengi na kusomesha watoto wachache ili ipate quality. Mass education ndio pekee inayoendeleza taifa kwa kuwa na wasomi na si vingine.

Ikiwa mawazo ndio kama hayo yako, tuna kazi, kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu kama wewe.

Wewe ndiyo umeonyesha ufinyu kabisa wa kufikiri. Sijasema uchache ndiyo "quality", nimesema hapa tunaongelea "quality" na siyo "quantity" unayoipigia debe.

Narudia: "Hata kama watoto wote watapata elimu ya sekondari kama kichwani hamna kitu ni bure kabisa, afadhali hizo resources wangenunulia pembejeo za Kilimo angalau tuondokane na aibu ya njaa!"

Jifunze kusoma bila kuhemkwa. Tulia
 
Wewe ndiyo umeonyesha ufinyu kabisa wa kufikiri. Sijasema uchache ndiyo "quality", nimesema hapa tunaongelea "quality" na siyo "quantity" unayoipigia debe.

Narudia: "Hata kama watoto wote watapata elimu ya sekondari kama kichwani hamna kitu ni bure kabisa, afadhali hizo resources wangenunulia pembejeo za Kilimo angalau tuondokane na aibu ya njaa!"

Jifunze kusoma bila kuhemkwa. Tulia

Tatizo lako kubwa ni huelewi unachokipinga ukiambiwa hivi unasema vile ukiambiwa vile unasema hivi.

Nakueleza hivi, watoto wote waliofaulu mwaka jana ni wengi kuliko wote walioingia sekondari wakati wowote ule kabla ya Kikwete. Jee umeelewa hapo?

Sasa fikiri ni vichwa vingapi viliachwa bila kupewa fursa na Nyerere, Mwinyi na Nkapa kwa miaka 45.
 
Back
Top Bottom