platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,373
- 11,177
Mazao ya kuporomoka kwa elimu chanzo chake ni Nyerere na vibaraka wake, nani alifuta masomo ya History na Geography mashuleni? na nani kayarudisha?
Naona umerudi kulaumu na kulalamika (sishangai), niilifikiri utanieleza hizo product nzuri zinazotengenezwa ulizozisema ghafla umerudi kwa Nyerere!!
Kwa mantiki hiyo wanafunzi hawaelewi hayo kwa sababu Nyerere alifuta History na Geography. Hebu tuendelee kwenye mjadala wetu kuhusu "best result" za walimu watakaokuja (achana na wa History na Geography kwa sababu Nyerere "aliharibu").