SKONGA: Kipindi 'kinachovua nguo' wanafunzi

Ukitizama kile kipindi unaweza zaba mtoto wa mtu kituo cha daladala hata hajakukosea.
Unahisi na yeye ni kilaza.
Mi nikitizama hiki kipindi, nakumbuka matokeo ya 2012 na kukubali baraza la mitihani la taifa halina makosa yoyote. Yale matokeo yalikuwa sahihi!
 
Mi nikitizama hiki kipindi, nakumbuka matokeo ya 2012 na kukubali baraza la mitihani la taifa halina makosa yoyote. Yale matokeo yalikuwa sahihi!

Hivi mkuu kazi ya lile baraza ni zipi hadi likwepe lawama?
 
Back
Top Bottom