Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,991
- 2,881
- Thread starter
- #61
Kuna mwanafunzi wa kidato cha tatu,aliulizwa binadamu ana figo ngapi??
Akasita kwanza (akionyesha hajui figo ni nini)......kisha akajibu MOJA...
Ilivyofika Wakati wa kuimba sasa...nilichoka...
so sad