Hoshea
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 5,420
- 3,776
Freedom of speech na ukisha kuwa public figure uwezi zuia majina na matani juu yako Lamda uwe uongozi wa kibabe
Hapana mkuu, wala haihusiani na ubabe, kila kitu hakina budi kiwe na mipaka.
Freedom of speech na ukisha kuwa public figure uwezi zuia majina na matani juu yako Lamda uwe uongozi wa kibabe
Uwiiii kocha mchezaji...teh teh teheeeeti nasikia yeye ndio analishauri baraza LA mawaziri badala ya wao kumshauri,sizonje ni giniaz
mkuu kwani sisi tunamjadili Magu?si tuna ndugu yetu anaitwa Sizonje sa sijui we unamtajaje mtukufu humu ndaniTatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,
Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,
Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.
Kabila moja na sizonje si uongee kiswahili au ugamboshi ng'wana wane au ukolini ushakuingia...the hell is Sizonje?
Some has-been fat cat or something?
Jamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Tukiuziwa uhuru kwa bei hiyo itakuwa nafuu sana .Million 7 zinawawasha humu
Anatamani kufanya makao makuu ya nchi yaamie chatomkimsemasema sana mtasikia yuko ziarani chatu kuweka betri mpya
Mi naomba ya siku tatu mwenzi mzima ntarest in peace
Sizonje siamini kama hajaenda kuwapa pole wahanga
Ni kocha mwenye majigambo, vitimbi, majivuno na pia hataki ushauri wa yeyote yule. Shuka kitaa Mkuu utasikia tu jinsi mashabiki, wapenzi na wanachama wa timu yetu pendwa wanavyomzungumzia vibaya huyu kocha Sizonje.
nishamjua Ni Jonas Paulo MazikuNamuona shizonjee anajuta kwanini aliomba kazi hii ya ukocha wa stendi UTD.Ndugu msikilizaji nilikosea kumbe ndo kwanza mpira upo katikati ya dimba tunasubiri kocha sizonje afanye mabadiliko mengine.
Hyo imepenya barabaraaaUmeelewa nn hapo mpaka useme hivo kaka au imepenyaaaa![]()
Nilikuwa nimepanga kusoma tu ila wewe ni wa kujibibiwa. Hivo walioingia mikataba ya miaka 100 siyo hao wanaotupangia tuongozwe na nani ??!! Aliekuwa mkali kuhakikisha nchi inaongozwa na anayemtaka si huyo aliyegawa madini yetu kwa mrahaba wa 3percent tena kwa miaka 100 na ukipinga unakuwa mchochezi na kutafutiwa sababu.Tatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,
Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,
Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.
Shizonje kala rambirambi sasa kavimbiwa.Sizonjeee uliona mepesi sasa wajuta Sizonje
Mi nilijua sizonje anapeleka team ya mpira kumbe nchiSIZONJE sijui anapeleka wapi nchi.....
Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......
Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......
Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
Dai risiti kwa sababu ndani ya hiyo risiti kuna pesa za serekali....shizonje anaomgea kama tembo.Huyu wa chato ana huluma TRA imevunja record ya makusanyo ya kodi bado wametumbuliwa..bado tu..!! Mda utasema


OK umeelewa![]()
![]()
![]()
nishamjua Ni Jonas Paulo Maziku