Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Magufuli has made all Tanzanians to look alike despite the endowments. I real salute him especially for the low income earners can afford to restructure their lives. Unlation rate has decreased tremendously and therefore properties' prices have fallen consequently. Mifuko ya cement sasa hivi ni elf 16 kutoka elf 23 ya twiga. Hata masikini atajenga. Magufuli umetutendea vyema sisi masikini na kuondoa umungu mtu wa watu Fulani Fulani ambao walikuwa wanaenda kula lunch Dubai au south Africa na kurudi kula dinner tanzania
 
Sema we mpigaji ndo huna hamu nae. Sisi huku ni mkombozi wetu wanyonge. 2020 lazima spate kula nyingi sana asilimia mia
 
Magufuli has made all Tanzanians to look alike despite the endowments. I real salute him especially for the low income earners can afford to restructure their lives. Unlation rate has decreased tremendously and therefore properties' prices have fallen consequently. Mifuko ya cement sasa hivi ni elf 16 kutoka elf 23 ya twiga. Hata masikini atajenga. Magufuli umetutendea vyema sisi masikini na kuondoa umungu mtu wa watu Fulani Fulani ambao walikuwa wanaenda kula lunch Dubai au south Africa na kurudi kula dinner tanzania
Wewe ondoka hapa tafadhali!! Sisi tunamjadili Sizonje huyo Magufuli unamleta wewe sisi hatumjadili yeye.
 
Shizonje alivokuwa kijijini alikuwa mtu mzuri tu na mwenye hofu ya mungu, alipoingia mjini tu wapiga dili wamemuharibu kawa mlevi wa kutupwa! Kala mpaka rambirambi za wajane"
 
NNyie watumbuliwajwi mtaumia sana utawala huu. Utawala huu ni imara sana hauteteleki hata kidogo. Fanyeni kazi pesa za ovyo hazipo tena. TRA siku hizi hamna pesa za dili tena. Zamani nilikuwa nawaogopa sana wanaofanya kazi TRA lakini kwa sasa tunaheahimiana tu na Dada zetu hawawatombi tena ovyoovyo mana hela zimekata. Walimu walikuwa wanaonekana kama wasindikizaji lakini sasa hivi wanaheshimiwa mana wote almost wana income inayofanana. Heko magu umeleta usawa. There is low disparity of income levels.
Walimu gani hao,walimu mnavyowadharau hivo,wengine wapo mtaani mwaka wa 2 huu
 
Hii thread imesadifu kipimo cha IQ za watanzania! Huwezi amini hawa ndio intellectual's hapa nchini halafu wameandika pumba namna hii! Yaani mazungumzo yao ya kawaida sana! Kwakweli inasikitisha!
 
Mweleze sizonje pa kisu hapaingii shoka ndg yangu, asilazimishe mambo mpini ukamvunjikia mikononi pake.
 
Hii thread imesadifu kipimo cha IQ za watanzania! Huwezi amini hawa ndio intellectual's hapa nchini halafu wameandika pumba namna hii! Yaani mazungumzo yao ya kawaida sana! Kwakweli inasikitisha!

Naona Mkuu Umekurupushwa Huko Mafichoni Naona Umekuja Wangu Wangu Kulikoni?
 
Mpendwa Sizonje habari za siku.... natumaini u buheri wa afya kibaiolojia japokuwa kiroho u tofauti...

Rafiki yangu Sizonje nakumbuka enzi zile tukijadili mpira ulivyokua hodari kumlaumu kocha!! Kwamba kocha wa timu yetu hawezi... kocha mzembe na anafuga uvundo....

Kadiri tulipokutana kila baada ya sentensi tatu lazima umseme kocha kila siku ikawa hamkani si shwari!!

Sizonje utakumbuka kocha alikuvumilia sana japokuwa ulikua huwezi!! Mdomo na maneno mengi yalikubeba kwa mashabiki lakini wachezaji wenzio walikujua!! Ulikua bingwa wa kukariri tarakimu za mchezo bila ujuzi na weledi wa mchezo!! Hata kocha alipoonywa sana juu ya kiwango chako kibovu bado alikubeba ingawa ulimsogoa!!

Hayawi hayawi yakawa Sizonje!! Kauli zako zikalipa!! Kocha akastaafu na ukocha ukapewa wewe!! Kila mtu ndani ya timu akiduwaa mashabiki waliolewa kauli zako tamu ziso kifani walikubeba hatimaye ukawa kocha!!

Awali ulionesha uwezo wa kukonga mashabiki kwa sifa na vitimbi kemkem!! Siku zikasonga mashabiki wakaona timu inarejea nyuma kuliko ilikokuwa kwa kocha mzembe!!

Nakujua Sizonje!! Hupendi kukosolewa na wala hupendi kimya cha sifa!! Vigelegele vya mashabiki na vifijo vimekoma!! Mbinu zote za michezo ulizotumia zimebuma!! Timu inarudi nyuma kwa kasi na wachezaji wameshapoteza mori!! Kila ugusapo sasa hapagusiki!! Wachezaji wanaonesha ari machoni pako tu lakini uwanjani wamedorora!!

Sizonje usichanganyikiwe... mambo bado ndio kwanza safari inaanza!! Ishike ngao na kigao kuyahimili majira!!!

Kwa leo naishia hapa Sizonje nikija mjini ntakutembelea tule maboga ya enzi zetu.
Mimi nimekuelewa mkuu ila nimependa utunzi huu 10000%
 
Mweleze sizonje pa kisu hapaingii shoka ndg yangu, asilazimishe mambo mpini ukamvunjikia mikononi pake.
Tatizo la Sizonje ubishi mwingi na hashauriki!! Timu imemshinda!!!
 
Sizonje umefanya maajabu,vibarua hawajapewa increments zao haijawahi tokea ktk historia ya Tanzania. Ni maajabu makubwa mno.
Ni tafrani
 
Back
Top Bottom