Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Kocha apewe nafasi amalize mkataba wake wa awali, tena TFA itaomba ridhaa kwa washabiki ama aongezewe mkataba mpya au hapana. Formations zake hazijasomeka bado lakini nina hakika ataweza kuipeleka timu kwenye final ya kombe la Afrika, at least!
 
hivi mkuu aliupendea nini wimbo huu unaotunanga sisi wana lumumba?
 
Haha nasikia anatutafuta kwa udi na uvumba!!
Anahangaika mno...
kuna mtu sehemu nyingine amesikika akimwambia Sizonje anakuwa kichaa. ..
team inazidi kuboronga.
Hili la kuvamia viwanja vingine na kuanza kuwatishia hadi mashabiki litamgharimu sana.
 
hili gemu kali sana ngapi ngapi?Sizonje kapiga bao nini?


swissme
 
SIZONJE sijui anapeleka wapi timu.....

Alafu mbona Sizonje amepewa majina mengi this time?.......

Mala Juma Ponda Mali ,Mala Nyampala,Tembo, Sasa nasikia anaitwa Trump ......

Kuna ukweli juu ya majina ya Shizonje?.......
 
Back
Top Bottom