Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Ivi ile meli ya mv Daresalaam alinunua nan mkuu samahani,nimesahau naomba nikumbushe???
 
Ati ile deal ya mv Daresalaam alipiga nani vile????
 
Sizonje alisema kuwa makusanyo ya viingilio kwenye mechi yamepanda sana hivyo ametenga Pesa nyingi kwa maendeleo ya timu.Lakini hali halisi so shwari ,hakuna miradi ya maendeleo ya timu inayoendelea kwa uhaba wa Pesa.Sasa sijui takwimu za viingilio vya kila mechi ni feki au Sizonje kuna sehemu anapeleka ?
 
Ati ile deal ya mv Daresalaam alipiga nani vile????
Weka ushahidi, usiongee tu. Tuonyeshe ushahidi. Watu tunaofanya kazi zetu za halali maisha yanaendelea tena bila shida yoyote. Mimi nashangaa sana kuona watu wanapiga kelele tu bila sababu za msingi. Sizonje fanya kazi baba, tupo pamoja na wewe katika kurudisha heshima ya nchi yetu.
 
Hujajibu swali mkuu,hakuna aliyedata hapo,isipokuwa Tu don't ignore Da facts....
 
Hujajibu swali mkuu,hakuna aliyedata hapo,isipokuwa Tu don't ignore Da facts....
Which facts are you referring to?? Ndio maana nimekuambia tuonyeshe ushahidi ili tukuamini. If you don't have concrete evidence, the right to accuse anyone.
 

Itabidi mcheze tu hamna namna maana Hii timu ilikuwa Na wachezaji hewa wamevaa jezi wanafanya mazoezi kidogo kumbe kucheza hawawezi Na mshahara wanapewa.Kocha Tuko Na wewe wala usiwajali hao wanaomba Maji. Sisi tulio benchi tutaendelea.Hata glukozi wasipewa.
 
Hivi ni kwa nini hakuna ombaomba wamasai? Ni wagogo tu kuombaomba, tena bora serikali iwafuate hukohuko Dodoma mtuache tupumuwe.

Jifunze kujuwa sample huwa inachukuliwa kwa percent ngapi?
Sad huku Arusha wapo. Wanasingizia nauli za kwenda Ngaramtoni.
 
sizonje mbona malaika hashuki..?
ngoja nikujibie
anaogopa akishuka atakutana namasizonje!
 
Wewe ni smart umejadili kocha vizuri sana. Si km wale waliogeuza mada iwe ya kisiasa wakati ni michezo
 
Hivi sisi wakazi wa Mosco mnatupataje na hizi sheria zenu magumashi?
Server ipo u.s.a wewe upo russia. sheria ipo bongo. duuuuhh. sipati picha itakuaje hapo mahasimu wawili wakichonganishwa kwa kukutafuta ww. nahisi itakua ngumu. bora yako
 
An tangu team yetu ipate kocha mpya
Team haishnd
Ikjitahd n droo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…