Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Dah! Mkuu lusungo hii kauli ya huyu HAMY-D kuhusu kocha Sizonje imenishangaza sana. Naona kazinduka toka usingizi mzito na kuelewa kwamba kocha Sizonje anaiua timu yetu pendwa taratibu katika kasi ya kutisha.

Hahahaha daaah tulisema jamani saa inakuja nyoka wote watagaa gaa ardhini!! Mkuu hadi wewe? Basi Sizonje si mali kitu....

CC: BAK Elli tpaul MANI Lizaboni iparamasa Mmawia Mungi OKW BOBAN SUNZU et al

Njooni muone kocha kaanza geukwa na benchi lake la ufundi!!
 
Dah! Mkuu lusungo hii kauli ya huyu HAMY-D kuhusu kocha Sizonje imenishangaza sana. Naona kazinduka toka usingizi mzito na kuelewa kwamba kocha Sizonje anaiua timu yetu pendwa taratibu katika kasi ya kutisha.
Haha unajua mkuu huyu HAMY-D ni mtu mzito haswa pale Lumumba FC sasa hii kauli yake imenistua sana!!

Kumbe wana mengi moyoni yakusema ila wanavumilia tu na kutegea tuwasemee!!! Nimeshangaa sana!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu wameanza kuyakubali maneno yetu kwamba huyu kocha Sizonje si kocha si lolote ni wa kuukoteza tu hata timu ya mchangani chenga mbili kiatu hastahili kukabidhiwa. Kocha uchwara lol!

Haha unajua mkuu huyu HAMY-D ni mtu mzito haswa pale Lumumba FC sasa hii kauli yake imenistua sana!!

Kumbe wana mengi moyoni yakusema ila wanavumilia tu na kutegea tuwasemee!!! Nimeshangaa sana!!
 
sizonje nimeipenda nyumba yako kwa mapambo uliyoweka, haswa nimependa maua yako yalivyo ya kipekee yameizunguka nyumba yako lkn huchanua ukiwa nje, ukirudi kulala nayo hulala tena fofofo!!!

sizonje kidogo napata tabu na utaratibu wako wa milango na madirisha jinsi unavyoyaweka. wewe mwenyewe ndiye unaeyaweka na hauitaji hata fundi wa kukusaidia lkn baada ya muda unasema hayafai na kuweka mengine.

sizonje la mwisho ni kuhusu wanafunzi. Walipotaka kuomba chuo waliletewa orodha ya vyuo vinavyotoa elimu ya juu na wakachagua kwa utaratibu uliowekwa na taasisi husika za serikali. jibu sina kwa sasa kuona nyumba yako inavifuta vyuo kwa kutokidhi vigezo na wanafunzi wao wanatakiwa kurudia mwaka. hapa mwenye makosa ni nani kati ya chuo, wizara husika na mwanafunzi?
 
Shida Si Kocha Sizonje, Tatizo ni aina ya wachezaji Alionao. Wachezaji hawataki Kufanya mazoezi,Kukimbia,kukaba Yote Hawataki. Wanataka Ushindi Tu Na Magoli Yao Yawe Penalt Tena Wakati Wanapiga Hizo Penalt Kusiwe na kipa Kabisa. Baada Ya Hapo Wawe Mabigwa Na Wanataka Wacheze Mechi Za Kimataifa Kabisa. Sisi Washabiki Wao Tutakulaumu Kocha Sizonje Kama Utashidwa Kuwasaidia Wachezaji Kuyafikia Haya Yote. Ngoja Nikurudishe Nyuma Kidogo Kocha Sizonje, Kabla Yako Tulikuwa Na Kocha Anaewasaidia Wachezaji Kuyafikia Haya Yote, Ikafika Mahali Mashabaki Tukachoshwa Na Aina Yake Ya Ukocha Tukataka Tupate Kocha Atakaye Rudisha Uhai Wa Timu, Mungu C Lemutuz Sizonje Tukakupata Kocha Unaeteka Tupate Ushindi Kwa Kujituma Yaan Tufanye Mazoezi, Tukabe, Tukimbie Ndo Tupate Upate Ushindi. Leo Sizonje Tumechoshwa Na Hii Hali Tunataka Tuwe Kama Zamani Na Kocha Wetu Yule Wa Ushindi Kitonga Hatutaki Fomula Zako Zisizotupa Ushindi Mapema. "kweli Ukistaajabu Ya Sizonje..."
 
Si mlijifanya hammuelewi Sumaye pale alisema Sizonje hawezi kuwa Kocha labda nahodha?
 
HUU KWA KIFUPI UNAITWA "UCHOCHEZIII"

SIZONJE HAJARIBIWAGIIII......MUACHENI SIZONJE ATAKUWA NA AKIKUWA ATAJUWA.....MUDA NI MWAMUZI MZURI SANA JUU YA UHAKIKA WA SAA ULIYOVAA NA JINSI INAVYOFANYA KAZI.
 
Hahahaha daaah tulisema jamani saa inakuja nyoka wote watagaa gaa ardhini!! Mkuu hadi wewe? Basi Sizonje si mali kitu....

CC: BAK Elli tpaul MANI Lizaboni iparamasa Mmawia Mungi OKW BOBAN SUNZU et al

Njooni muone kocha kaanza geukwa na benchi lake la ufundi!!
Huyu Sizonje amechemsha, sidhani kama ataendelea kuwa kocha beyond 2020. Kila wachezaji tukimuambia tunaumia miguu kwa kutuchezesha mpira wa chuma anasema kocha wa zamani alikuwa akitubeba kwa kutuchezesha mpira wa ngozi. Huyu kocha sheria 17 za mpira hazijui...anashindwa kutambua kwamba sheria mojawapo miongoni mwa hizo sheria 17 ni MPIRA WA KUCHEZEA? Hatumtaki huyu kocha magumashi aende zake mwaka 2020. Tunamtaka yule mchezaji wetu wa zamani...beki namba 5 anayevaa kilemba cheupe kichwani. Yule ndiye kocha ambaye angeiletea timu yetu mafanikio, sio huyu kocha uchwara anayeacha sheria za mpira na kujitungia sheria zake za kufikirika. Tumemchoka, hatumtaki, na aende zake.
 
Hii ndiyo nyumba yake na pale ndiyo kwe malalo au makaburi ya kale !makaburi mengi yanaujumbe ,uwe mbaya au mzuri kama ukiweza yafukuwe ili upate yaliyofichwa humo lakini unaweza kushindwa kuurudishia udongo.si unajua tulivyo hatuna wema ,ukiacha kuyafukuwa watasema umewaogopa kwakuwa wao ndiyo waliyoiandaa safari yko na ukifukuwa watasema hana shukrani huyu ,maana nauli pamoja na pesa za matumizi tulimpatia sisi leo analeta kujua!watakutisha kufukuwa hata kaburi lako la kale.SiZONJE USIKATE TAMAA
 
Uwezi amini sizonje kabaki yeye na makonda. Wengine wanasukuma gurudumu bora liende
 
Wakati huyo maskini anajenga utamlisha wewe? Kama wakati wa mkwe wangu tu alishindwa kupata chai na lunch; Leo anaweza kujenga? Tuache kusanifiana jamani
 
Back
Top Bottom