Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
...
....j4 Kiboko
....j4 Kiboko
Sitawaangusha wakati wote tupo chali!!!
Umeanza visingizio vya Sizonje!! Kwanini mnazunguka mbuyu? Mwambieni Sizonje kazi imemshinda!!Tunawajua wanaomkwamisha Sizonje, niwale wadhamini wa wachezaji waliokuwa wanawalisha bagi wachezaji hao, huku wachezaji wakionekana wanajuhudi uwanjani kumbe ni juhudi za bangi. Sizonje anataka mchezo Safi. Kapiga marufuku utumiaji wa bangi kwa wachezaji wake. ..wachezaji wamelegea... Ndiyo maana kila Dirisha dogo likifika lazima asajili na wazamani kuwaachisha.
Mbona mwenyewe alijitaja????Jamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Sizonje kazi imemshinda!! Timu inarejea nyuma kwa kasi!!!lusungo : Kocha Sizonje yuko vizuri, wala hataki visingizio!! Timu alikabidhiwa imejaa, 'makomandoo', wanadhulumu haki za wachezaji. Makomandoo waligeuka wahasibu wa timu eti kila mechi wao tu ndo wachukue viingilio mlangoni. Uwanja unajaa halafu makomandoo wanasema fedha zimepatikana kidogo. Yeye kama mchezaji kipindi hicho ilimuuma sana Sizonje. Akaapa kuwa kocha ili apate nafasi ya kutetea wachezaji. Kwa sasa kocha Sizonje kawaagiza uongozi wa timu hata makomandoo. Zitumike tiketi za electronic kama mabasi ya mwendokasi. Sasa wachezaji Safi wanaanza kufaidi Matunda ya kocha mpya ingawa kocha bado anaangaika na hasara zilizoletwa na makomandoo.
Hapa hatuzunguki mbuyu, tunasema ukweli na tunamweleza kocha aendelee na uzi ule ule, wachezaji wabangi waondolewe na makomandoo wazurumati wakione cha mtema kuni!
Fitina hazimbabaishi Sizonje!! Na kwa hapa umekosa ushawishi kwa uongozi wa timu kumtimua kocha. Sizonje ndiye kocha wa ukweli utake usitake!!Sizonje kazi imemshinda!! Timu inarejea nyuma kwa kasi!!!
hahaha oxford educated lady
Huku hapakufai, nenda facebook, here's for great thinkers only.Jamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Tatizo la huyu kocha amedharau benchi lote la ufundi, hashauriki kocha wetu, walahi mashindano ya nje tutayasikia kwa majiraniSizonje hawezi kazi ya ukocha