Sizonje kashachanganyikiwa,yeye ni kuteua kutengua.kila aliemzunguka hamuamini,anaona yy ni mtakatifu sanaa
Sikubaliani na were kuwa kachanganyikiwa; mimi naona kuwa ana mipango yake mikubwa juu ya nchi hii, na anapopangua ni pale anapoona hao waliopo hawana kasi yake ya kuweza kutimiza malengo yake katika muda huu mfupi!! Ili kupata watu wanaoendana na kasi yake hana budi kufanya due diligence ya watu wengi ambao yeye peke yake hawezi kuwafahamu; kuna wasomi wengi wanaoweza kumsaidia lakini system iliyopo ya mkweree haiwapendi!!