Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Sizonje usichanganyikiwe, Mambo bado!!

Hii thread imesadifu kipimo cha IQ za watanzania! Huwezi amini hawa ndio intellectual's hapa nchini halafu wameandika pumba namna hii! Yaani mazungumzo yao ya kawaida sana! Kwakweli inasikitisha!
Inasikitisha kuliko kula rambirambi?
 
Wanaolalamika na kulialia ndio waliochanganyikiwa. Na mtalalamasana safarihii mlizoea ujanjaujanja.
 
Wanaolalamika na kulialia ndio waliochanganyikiwa. Na mtalalamasana safarihii mlizoea ujanjaujanja.
Wanaofurahia na kuchekea umaskini unaotukabili wauzoea ujinga ujinga kwani ujanjaujanja hawauwezi.
 
Nisome tena tafadhali.
Mkuu, jina la mtukufu wetu Rais hua halitajwi tajwi hovyo hovyo na nashangaa umeliletaje hapa. Habari zenu za siasa pelekeni hukoo hapa tuna discuss mpira na kocha wetu sizonje utuache tafadhali!!
 
Sizonje naona kapaniki hapa anamtandika kibao mshika ubao wa kubadilishia wachezaji(ms*gwa) eti kisa anachelewa kuonyesha ubao wa kumpiga Sub yule kiungo muongo muongo ambaye anapokea na kugawa pasi.
 
Akillizako ndio za kimaskini, wakati wewe unalialia wenzako tunachangamkia fursa na kuzitumia.
 
Makubwa, kuna mambo huwa yanatokea Tanzania tu.

Kwakweli nawadharau wananchi wanaokaa majimbo ya wabunge wa hivyo hasa wagogo wa Mtera hawa kichwani hamna kitu ni bure kabisa.
Na kuna uwezekano ndio wanaoongoza kwa level ya umaskini...
 
Tatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,

Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,

Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.
na kocha m'bovu huaribu timu.
 
Back
Top Bottom