Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,580
- 48,938
Magufuli simamia kabisa mpaka Raia hewa tuwajue awamu hii!Mkuu Njaa Inatuathiri Legezeni Kidogo Hapo Mulipofunga.
Magufuli simamia kabisa mpaka Raia hewa tuwajue awamu hii!Mkuu Njaa Inatuathiri Legezeni Kidogo Hapo Mulipofunga.
Mkuu nimecheka sana mpaka nimeulizwa kulikoni.Magufuli simamia kabisa mpaka Raia hewa tuwajue awamu hii!
Sizonje mwisho wa siku atabaki peke yake.apambane kwa akili yake,kashatibua kila mtu,nae atanyooka tuBora bodi ya mikopo iwadai tu hela zao maana ni hasara tupu! Yaani huwezi amini hizi ndizo arguments za wasomi wa hili taifa!
Hata kamati za ufundi anazishauri yeye sio yeye ashauriwe nao!!
akupe na risiti ukimpelekea mabogaukienda kwa mama ntilie,dai risiti..uwiiiiii,sizonje nikija mjini ntakuletea maboga na viazi..
Kujiuzulu ukocha si aibu, unaweza ukawa ushujaa pia na akaingia ktk rekodi za timu yake na ukanda wake.Tatizo la Sizonje ubishi mwingi na hashauriki!! Timu imemshinda!!!
Ww umejuaje ni rais ww ni mchocheziTatizo lenu mpo kama watoto walioachishwa ziwa kunyonya huwa wanalia usiku kucha wakiona wanaonewa na ni haki yao kunyonya siku zote kumbe hawajui kuna hatua zinazofuatia mbeleni pengine zitakuwa nzuri au mbaya huo ni mfano tatizo sio Magufuli tatizo ni mfumo na maisha tuliozoeya kuishi ya wizi, ulaghai ,rushwa, dhuluma na mengine yafananayo nayo, sasa Rais anajitahidi kurudisha katika misingi na mfumo uliobora wa kuyafikia malengo watu mnaona taabu ,
Hii nchi jama hata angelishuka malaika kwa hali iliyokuwa imefikia hangeweza kuiongoza humu kila mtu msemaji kila mtu mjuaji cheusi kita takatishwa kuwa cheupe inabidi kujitoa ufahamu tu kuiongoza hii nchi watanzania hatubebeki ,
Mmesahau kuna mikataba ya miaka mia moja humu hembu tuwe na utu jama tumsaidie Rais kuendesha hili gurudumu la maendeleo tuache kulia lia Mungu hapendi namalizia kusema asiyefanya kazi na asile na mikono milegevu hujenga paa bovu.
Umejuaje ni rais tukikupeleka mahakamani utasema umeonewaNi wapuuzi sana hawa, hii nchi imejaa wanafiki sana, angalia majina ya kinafiki anayopewa raisi, nyie ndio mtasababisha hii forum ifungiwe, endeleeni kumchafua chafua, mwenzenu kafungwa kisa ameota, kufungiwa hii ni issue ndogo sana
Sizonje mwisho wa siku atabaki peke yake.apambane kwa akili yake,kashatibua kila mtu,nae atanyooka tu
Mtalamu wa uchumi anakazi ya ukatibu mueneziSizonje bado nina imani n.a. wewe ila huku kwenye uchumi mambo si shwariii bado unamda wa kufanya vizuri mafuta yakawa asali tafuta watalamu as uchumi kaa nao meza moja uone
Nilijua ni mimi tu.Jamani mmeniacha Gizani.sizonje ndo nani
Sizonje amejenga Nyumba amesahau kuweka mlango na madilisha alafu yeye yuko ndani
Mkuu, jina la mtukufu wetu Rais hua halitajwi tajwi hovyo hovyo na nashangaa umeliletaje hapa. Habari zenu za siasa pelekeni hukoo hapa tuna discuss mpira na kocha wetu sizonje utuache tafadhali!!Mkuu nimecheka sana mpaka nimeulizwa kulikoni.
Mbona Sizonje ana ID yake humu, ni mwenzetu unachopost anakipata direct.haki ya mungu kati ya vitu ambavyo sizonje havipendi hata kuvisikia ni huu mtandao wa jf, inawezekana kuna watu amewaweka kufuatilia mada zinazoinanga timu yake, au yeyemenyewe, balaa linakuja jinsi yakumpa ripoti ya mambo kama haya '"'eti.... Mh.... Wanakuita.... Sii.. Si zonje..''