Sizitaki Mbichi Hizi!!

hapo kwenye red hivyo vimatunda vitamu/vichachu vimepotelea wapi siku hizi

:focus: umenikumbusha unavizia mazambarua, mapera kwa jirani unafika home umechelewa unapata viboko

Kumbe unazijua mkwe???
Mi nazipenda jamani, sijui ntazikuta xmass.:A S-coffee:
Hhahahaha, ila bado hamna kukoma. Nakumbuka zambarau si tulikua tunapata nyumbani, basi mtu akipanda anatingisha matawi sisi tunadaka na sketi, zoezi likiisha nguo zimekua zambarauuuuuuuu.
 
kwa kweli labda uwe umeiona hiyo picha au unaijua hadithi nyuma ya picha huwezi kukumbuka kitu... ndio mimi hapa...
 
Genuinely.... Hadithi za Sungura nikiwa mdogo nikwa na akili zile za kufikiri kua kweli Sungura ni mjanja kuliko hata mwanadamu... days of naivete.
 
Kumbe unazijua mkwe???
Mi nazipenda jamani, sijui ntazikuta xmass.:A S-coffee:
Hhahahaha, ila bado hamna kukoma. Nakumbuka zambarau si tulikua tunapata nyumbani, basi mtu akipanda anatingisha matawi sisi tunadaka na sketi, zoezi likiisha nguo zimekua zambarauuuuuuuu.
Hahaha! Lizzy bana..lol
 
Saa hiyo maza keshatembeza kichapo cha kutoweka, kuiba mazambarau ya watu na kutojifunza kupika na dada. Ukipumua. Tu dingi anaingia na kutembeza kichapo cha hujaoga hadi saa hizi,kwani ulikua kazini? Kha! Afu kesho tena unarudia, raha kweli!
[/SIZE]:focus: umenikumbusha unavizia mazambarua, mapera kwa jirani unafika home umechelewa unapata viboko
 
Saa hiyo maza keshatembeza kichapo cha kutoweka, kuiba mazambarau ya watu na kutojifunza kupika na dada. Ukipumua. Tu dingi anaingia na kutembeza kichapo cha hujaoga hadi saa hizi,kwani ulikua kazini? Kha! Afu kesho tena unarudia, raha kweli!
Halafu umerudi kutoka shule haujasoma umeenda kucheza rede na kombolela unarudi saa moja jioni unamkuta mdingi anaKusubiria na fimbo..lol
 
Bora hata nyie wa zambarau
sie ilikuwa kwenda kuiba malimao na matunda pori
safari ya masaa matatu toka shule hadi kwenye matunda pori
mkirudi shule ni saa saba mchana
unakuta walimu wakali kama pilipili
saa hizo viatu vimebebwa ili home wasione vumbi
unavaa viatu lakini ukifika home wanashangaa kumbi
liliko miguuni ni jingi kuliko la viatu
 
afu nilikuwa na bro mnoko
kazi nlopewa ni kuosha vyombo
jamani nilikuwa naichukia kama kifo
nilikuwa st kayumba
nlikuwa sikosi excuse
tumetumwa mbolea, mifagio, kuni, fito, chochote
ili niruhusiwe kwenda tafuta
tunakuwa wengi
tunaenda kucheza hadi basi
ukirudi huna nini wala nini
umepauka na vumbi wote wanakuogopa
 
Mizambarau niliiogopa baada ya kumvunja mtoto mmoja wa kidosi mgongo
alikaa hospital kama miaka miwili

Saa hiyo maza keshatembeza kichapo cha kutoweka, kuiba mazambarau ya watu na kutojifunza kupika na dada. Ukipumua. Tu dingi anaingia na kutembeza kichapo cha hujaoga hadi saa hizi,kwani ulikua kazini? Kha! Afu kesho tena unarudia, raha kweli!
 
Kumbe unazijua mkwe???
Mi nazipenda jamani, sijui ntazikuta xmass.:A S-coffee:
Hhahahaha, ila bado hamna kukoma. Nakumbuka zambarau si tulikua tunapata nyumbani, basi mtu akipanda anatingisha matawi sisi tunadaka na sketi, zoezi likiisha nguo zimekua zambarauuuuuuuu.

nitatafuta kwa ajili yako ukija nitafute unakula mpaka unachubuka mdomo kama ukwaju
 
afu nilikuwa na bro mnoko
kazi nlopewa ni kuosha vyombo
jamani nilikuwa naichukia kama kifo
nilikuwa st kayumba
nlikuwa sikosi excuse
tumetumwa mbolea, mifagio, kuni, fito, chochote
ili niruhusiwe kwenda tafuta
tunakuwa wengi
tunaenda kucheza hadi basi
ukirudi huna nini wala nini
umepauka na vumbi wote wanakuogopa

Hahahahaha, hivi sikuhizi wameacha kutuma watoto vitu? Nakumbuka sisi tulikua tunaambiwa kabisa kesho kila mtu aje na kuni mbili, ole wako iwe moja au viwe vyembamba. Bila kusahau fagio, vigaloni vya kunyeshea, mbolea, maua na miti.
 
Bora hata nyie wa zambarau
sie ilikuwa kwenda kuiba malimao na matunda pori
safari ya masaa matatu toka shule hadi kwenye matunda pori
mkirudi shule ni saa saba mchana
unakuta walimu wakali kama pilipili
saa hizo viatu vimebebwa ili home wasione vumbi
unavaa viatu lakini ukifika home wanashangaa kumbi
liliko miguuni ni jingi kuliko la viatu
Hahahaha, yani nyie mpaka malimao mlikua mnaiba?
Ila umenikumbusha yalivyokua yananoga na uji, alafu maganda yake ndo kijiko. Kusoma st. Kayumba wakati mwingine raha kweli.
 
sizitaki mbichi hizi sungura akagumia ,saa sita kengele ilipogonga tu tukatoka darasani tukaenda kuiba maembe kwenye shamba la watu,
kilichotokea sitasahau
 
tulikuwa tukipata malimao yaloiva
maganda ni starter
huli limao unless umeshow solidarity katika kula ganda
uwe unaskia chungu au tamu
lazima ule, si unajua darasa la 3 hadi la 5
mkikubaliana kitu ni lazima wote mfanye
la sivyo unatengwa

Hahahaha, yani nyie mpaka malimao mlikua mnaiba?
Ila umenikumbusha yalivyokua yananoga na uji, alafu maganda yake ndo kijiko. Kusoma st. Kayumba wakati mwingine raha kweli.
 
Bora hata nyie wa zambarau
sie ilikuwa kwenda kuiba malimao na matunda pori
safari ya masaa matatu toka shule hadi kwenye matunda pori
mkirudi shule ni saa saba mchana
unakuta walimu wakali kama pilipili
saa hizo viatu vimebebwa ili home wasione vumbi
unavaa viatu lakini ukifika home wanashangaa kumbi
liliko miguuni ni jingi kuliko la viatu
Dah! Mlikuwa wezi kweli..lol
 
View attachment 43266

Imekukumbusha nini.....

Inanikumbusha nilivyokuwa nakaa kwa hofu nikisikilizia dakika yoyote kama mwalimu wa zamu ataingia kuchapa bakora tuliochelewa namba. Nakumbuka nilivyokuwa naisubiria kwa hamu kengele ya saa nne ya mapumziko kwenda kula vibalagala na chips dume. Nakumbuka nilivyokuwa naona saa ya kumaliza vipindi na kurudi nyumbani ilivyokuwa inachelewa. Nakumbuka nilivyokuwa namwonea wivu Baraka mtoto wa familia ya mr and mrs daudi mdogo wake na musa na neema (?) alivyokuwa akidekezwa yaani hakuwa akichapwa bakora kabisaaaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom