Siyo siri, miradi mikubwa kama SGR, inaota nyasi. Hali ni ngumu!

Rejea comment yangu ya kwanza juu yako, and I was right.
Kile kikutokacho moyoni , mdomoni na kimawazo, hakina tofauti sana na kile ukipelekacho chooni.
SAD!
Mkuu usipokuwa na kitu kichwani kubali yaishe.
nyinyi ng'ombe wawili msije fanya kesho nikaenda field kupiga picha kwa ajili yenu.

mnaishi ufala huko halafu mnataka kuwa wasemaji wa yanayoendelea dsm!!!!
 
Yeah...inafikirisha....unaweza kuelewa ni kwa nini watu fulani wanapata tabu kukubali uwepo wa jana la corona (covid19)! Na vikao tunasusa:eek::eek:

Itapunguza kura....picha za miradi isiyokamilika hazinogi......lyrics za kuombea kura zilishaandaliwa, sasa kuanza kuzibadili kwa muda huo uliobaki mziki mzima utaharibika.

Napita tu jameni.
Ni vyema hali ya ukosefu wa maendeleo ukasawazishwa mapema
 
  • Thanks
Reactions: SMU
View attachment 1447022

Hii picha ya front page leo 11/5/2020, Daily News imenifikirisha sana.
Subwiri nimalize Kujifwikiza
IMG_20200511_162755.jpg
 
True na tumshukuru huyu mpiga picha wa Daily News, ujumbe mzito sana huu.
Gazeti Lao wenyewe halafu wanajitetea ohh mara nyasi zimefanya nini. Kama umefanya kitu kizuri, huna haja ya kukitolea maelezo kwa masaa matatu. Si kitu kitakua kinaonekana.......mtu anatoa maelezo kwasababu anajua alichofanya hakikubaliki.
 
Gazeti Lao wenyewe halafu wanajitetea ohh mara nyasi zimefanya nini. Kama umefanya kitu kizuri, huna haja ya kukitolea maelezo kwa masaa matatu. Si kitu kitakua kinaonekana.......mtu anatoa maelezo kwasababu anajua alichofanya hakikubaliki.
Habari za Wuhan , China mzee!
 
Jidu La Mabambasi,
... kilichokufikirisha nini wakati taarifa rasmi ya serikali ni kuwa mradi umekamilika kwa 75%?
Huyu jamaa angejua saizi bandari imesimama kupokea mzigo ya meli nyingine wanashusha vifaa vya huu mradi tu asingekuja huku shida serikali hai expose sana mambo yake
 
Back
Top Bottom