- Thread starter
- #61
Wewe ni traffic, dereva au abiria?Uongo tena wa mwaka!
Wewe ni traffic, dereva au abiria?Uongo tena wa mwaka!
Maeneo mengi tu yanazebra na unaweza kupita na hiyo speed 80kph siyo kila dereva anafata sheria ndo hao wanaopigwa fainiMaeneo yote yenye zebra ni makazi ya watu na speed inayoruhusiwa si zaidi ya 50Kph, sasa hiyo 80kph ni wapi?
Nimekuuliza ni wapi huko traffic police anakupiga fine unapopita zebra wakati hakuna watembea kwa miguu, hutaki kusema! Hivyo wewe ni muongo!Wewe ni traffic, dereva au abiria?
Sasa ukikiuka sheria fine ni halali yako!Maeneo mengi tu yanazebra na unaweza kupita na hiyo speed 80kph siyo kila dereva anafata sheria ndo hao wanaopigwa faini
Ndiyo ni halali yako na ndo nasema kwenye zebra inatakiwa iongezwe sheria kali na siyo kulegezwa watu kibao wamegongwa wakiwa wanavuka kwenye zebra kwaajili ya hayahaya mambo ya kusema wakati napita na gari sikuona mtu, ameshasahu anatakiwa eneo hilo asimame au apunguze mwendo ikiwezekana 15kph ili kujiridhishaSasa ukikiuka sheria fine ni halali yako!
Mjini speed ya 80 unaipatia wapi matuta kila hatua?Maeneo mengi tu yanazebra na unaweza kupita na hiyo speed 80kph siyo kila dereva anafata sheria ndo hao wanaopigwa faini
Tuambie kama dereva hakubaliani na kosa, je ni utaratibu gani hufuatwa pasipo kumharibia safari na ratiba ya dereva?Nimekuuliza ni wapi huko traffic police anakupiga fine unapopita zebra wakati hakuna watembea kwa miguu, hutaki kusema! Hivyo wewe ni muongo!
Mimi siyo traffic ila mimi ni dereva na mtembea kwa miguu!
Kwahiyo dereva ni wa mjini tu? We kama unaendesha gari yako safari ya kwenda kazini na kurudi nyumbani tu unatakiwa ujue kuna madereva wanaoenda safari ndefu pia na huko wanapopita kuna miji midogo ambayo kuna hivyo vivuko na asipobanwa na sheria anapita na 80kph+ bila kujali hata akiona watu wamesimama pemben wanataka wavuke.Mjini speed ya 80 unaipatia wapi matuta kila hatua?
Madereva wanavuka na 20kmh lakini mbele trafiki anaeaandikia faini?
Swali wanatumia kipimo gani zaidi ya kutaka kuona wanasimama hata kama hakuna watu?
Hebu soma kipengele kinachohusu zebra crosing na kile kinachohusu railway crosing kwenye sheria ya usalama barabarani. Utakua na nguvu ya kuwaelimisha hao trafiki wanapotaka kukuzinguaHabari
Tunaongozwa na sheria zilizo expire muda wake!
Iko haja sheria ya usalama barabarani ifanyiwe marekebisho kwani ilitungwa zamani enzi hizo Tanzania hatukuwa na barabara za lami na magari ya kutosha!
1. Siyo kila zebra lazima mwenye gari asimame hata kama hakuna mtu,
lakini baadhi ya Trafiki waliowrngi huitumia sheria hii vibaya kujinufaisha na kubambikia watu!
Hii yote inawezekana kwasababu sheria inawalinda trafiki kumkandamiza dereva! Hivyo hiyo sheria imepitwa na wakati kuwepo sasa!
Kama nchi sasa tunatakiwa tuwe na zebra za aina tofauti kuliko sasa vibao vyote ni black and White!
Nashauri Kuwekwe sheria mpya kwa vibao vya alama za wavuka kwa miguu iwe kama ifuatavyo!
1. Zebra za mistari nyekundu na nyeupe hiyo viwekwe kwenye vivuko vya watembea mguu kuonesha ni lazima kwa dereva kusimama (Lazima); na mara nyingi vibao hivyo vitawekwa kwenye maeneo mhimu tu ya msongamano! (Hii itamuamrisha dereva lazima kusimama kupisha watembea kwa miguu)
2. Zebra za mistari nyeupe na kijani itumie kuonesha utahadhari lakini hii iwe rasmi kwa wote kwa mtembea kwa miguu kuonesha atavuka endapo tu kukiwa salama!
(Hii itamuelekeza mtembea kwa miguu kuvuka kwa tahadhari kwa usalama wake)
Je, Endapo kuna kosa na dereva hakubaliani na kosa hilo sheria inasemaje kuhusu adhabu?
Kwa sheria ya sasa kwakweli ni mbovu mno, Endapo traffic akiamua kumbambikia kosa dereva ambalo hakubaliani nalo, huwa kuna fomu maalum ya kujaza na dereva kusaini ili kwenda mahakamani!
Na kama itakuwa hivyo lazima chombo cha moto anachoendesha dereva kishikiliwe police hadi pale mahakama itakapoamua!
Sasa chukulia mfano: dereva anakwenda mbeya, halafu kakamatwa chalinze kwa kosa ambalo hakubaliani nalo, inabidi Apache gari hapo chalinze hadi pale mahakama itakapoamua ( Hii sheria ya muundo huu haitekelezeki na sijui waliotunga walikuwa na akili gani)
Nashauri, endapo kuna mazingira ya dereva kutokubaliana na kosa, uwekwe utaratibu wa kuchukua maelezo ambayo yanakuwa kwenye karatasi kaboneted, polisi aandike maelezo yake, pia dereva naye aandike palepale maelezo yake pasipo kushurutishwa, halafu nakala ya juu achaniwe dereva apewe ili akaripoti kwenye kituo cha polisi kilichokaribu naye ndani ya siku 7 baada ya tukio, then ipangwe Sikh ya kusikiliza hiyo kesi online kupitia ofisi za police traffic na iamuriwe baada ya kusikiliza pande zote (dereva na traffic )
Kwa dereva ambaye hatakwenda kuripo kwa ajili ya kesi hiyo aandikiwe faini kwa maana kesi itakuwa imesikilizwa kwa upande mmoja!
Hii italeta nidhamu kwa trafiki wanaobambikia watu makosa kwasababu, endapo kutakuwa na malalamiko mengi ya dereva kutokubaliana na kosa kwenye database ya polisi na ikionesha trafiki yule yule kufanya kosa kwa wengi basi ASKARI huyo aondolewe barabarani!
Zipo sheria nyingi sana za kufumua lakini kiufupi sheria ya usalama barabarani ifumuliwe!
Usipokuwa mvumilivu barabarani kwa sasa unaweza piga trafiki kwa jaziba barabarani kumbe yeye hana hatia Bali anasimamia sheria mbovu ipasavyo kwa maslahi yake!
Weka hapa watu wachambueHebu soma kipengele kinachohusu zebra crosing na kile kinachohusu railway crosing kwenye sheria ya usalama barabarani. Utakua na nguvu ya kuwaelimisha hao trafiki wanapotaka kukuzingua
Makazi ya watu sheria iko wazi speed ni 50kmh, tena pamoja hilo kuna matuta, sijui wewe unapata wapi speed ya 80kmh.Kwahiyo dereva ni wa mjini tu? We kama unaendesha gari yako safari ya kwenda kazini na kurudi nyumbani tu unatakiwa ujue kuna madereva wanaoenda safari ndefu pia na huko wanapopita kuna miji midogo ambayo kuna hivyo vivuko na asipobanwa na sheria anapita na 80kph+ bila kujali hata akiona watu wamesimama pemben wanataka wavuke.
Suala la zebra ni sensitive haitakiwi itafutiwe dharura yoyote zaidi ya kusimama au kupunguza mwendo ambao unakaribia na kusimama ili kujiridhisha na ndo upite, vinginevyo ukipita na speed uliyotoka nayo huko ulipotoka bila kujali unatakiwa upigwe faini na kama hujaridhika na faini au ukionewa unatakiwa ukatae kulipa hiyo faini uende mahakamani ukapate haki yako ambayo traffic ametaka kukudhulumu.
Ilikuwa hivyo kabla, madhara Kwa watembea Kwa miguu yalikuwa ni makubwa hasa kwenye vivukoHabari
Tunaongozwa na sheria zilizo expire muda wake!
Iko haja sheria ya usalama barabarani ifanyiwe marekebisho kwani ilitungwa zamani enzi hizo Tanzania hatukuwa na barabara za lami na magari ya kutosha!
1. Siyo kila zebra lazima mwenye gari asimame hata kama hakuna mtu,
lakini baadhi ya Trafiki waliowrngi huitumia sheria hii vibaya kujinufaisha na kubambikia watu!
Hii yote inawezekana kwasababu sheria inawalinda trafiki kumkandamiza dereva! Hivyo hiyo sheria imepitwa na wakati kuwepo sasa!
Kama nchi sasa tunatakiwa tuwe na zebra za aina tofauti kuliko sasa vibao vyote ni black and White!
Nashauri Kuwekwe sheria mpya kwa vibao vya alama za wavuka kwa miguu iwe kama ifuatavyo!
1. Zebra za mistari nyekundu na nyeupe hiyo viwekwe kwenye vivuko vya watembea mguu kuonesha ni lazima kwa dereva kusimama (Lazima); na mara nyingi vibao hivyo vitawekwa kwenye maeneo mhimu tu ya msongamano! (Hii itamuamrisha dereva lazima kusimama kupisha watembea kwa miguu)
2. Zebra za mistari nyeupe na kijani itumie kuonesha utahadhari lakini hii iwe rasmi kwa wote kwa mtembea kwa miguu kuonesha atavuka endapo tu kukiwa salama!
(Hii itamuelekeza mtembea kwa miguu kuvuka kwa tahadhari kwa usalama wake)
Je, Endapo kuna kosa na dereva hakubaliani na kosa hilo sheria inasemaje kuhusu adhabu?
Kwa sheria ya sasa kwakweli ni mbovu mno, Endapo traffic akiamua kumbambikia kosa dereva ambalo hakubaliani nalo, huwa kuna fomu maalum ya kujaza na dereva kusaini ili kwenda mahakamani!
Na kama itakuwa hivyo lazima chombo cha moto anachoendesha dereva kishikiliwe police hadi pale mahakama itakapoamua!
Sasa chukulia mfano: dereva anakwenda mbeya, halafu kakamatwa chalinze kwa kosa ambalo hakubaliani nalo, inabidi Apache gari hapo chalinze hadi pale mahakama itakapoamua ( Hii sheria ya muundo huu haitekelezeki na sijui waliotunga walikuwa na akili gani)
Nashauri, endapo kuna mazingira ya dereva kutokubaliana na kosa, uwekwe utaratibu wa kuchukua maelezo ambayo yanakuwa kwenye karatasi kaboneted, polisi aandike maelezo yake, pia dereva naye aandike palepale maelezo yake pasipo kushurutishwa, halafu nakala ya juu achaniwe dereva apewe ili akaripoti kwenye kituo cha polisi kilichokaribu naye ndani ya siku 7 baada ya tukio, then ipangwe Sikh ya kusikiliza hiyo kesi online kupitia ofisi za police traffic na iamuriwe baada ya kusikiliza pande zote (dereva na traffic )
Kwa dereva ambaye hatakwenda kuripo kwa ajili ya kesi hiyo aandikiwe faini kwa maana kesi itakuwa imesikilizwa kwa upande mmoja!
Hii italeta nidhamu kwa trafiki wanaobambikia watu makosa kwasababu, endapo kutakuwa na malalamiko mengi ya dereva kutokubaliana na kosa kwenye database ya polisi na ikionesha trafiki yule yule kufanya kosa kwa wengi basi ASKARI huyo aondolewe barabarani!
Zipo sheria nyingi sana za kufumua lakini kiufupi sheria ya usalama barabarani ifumuliwe!
Usipokuwa mvumilivu barabarani kwa sasa unaweza piga trafiki kwa jaziba barabarani kumbe yeye hana hatia Bali anasimamia sheria mbovu ipasavyo kwa maslahi yake!
Nimemuuliza jamaa atuambie sheria inasemaje kama dereva hakubaliani na kosa pasipo kuathiri safari yake?Kwenye zebra muwe mnavuka kwa kukimbia. Unakuta mtu kisa ni zebra anaburuza miguu kama konokono, hajui kama watu wana haraka
Haki ina gharama! Nenda kwa kiongozi wake ukate rufaa na ikishindikana nenda mahakamani, hakimu atahitaji ushahidi!Tuambie kama dereva hakubaliani na kosa, je ni utaratibu gani hufuatwa pasipo kumharibia safari na ratiba ya dereva?
Hahaha etieh kwakukimbia !! Ujue iyoo ndio inaleta watu kugongewa zebra.Kwenye zebra muwe mnavuka kwa kukimbia. Unakuta mtu kisa ni zebra anaburuza miguu kama konokono, hajui kama watu wana haraka
Kwani ukimkamata mtu ugoni huwa unawashikilia wabakie wamekumbatiana hadi mahakamani kuonesha ushahidi?Haki ina gharama! Nenda kwa kiongozi wake ukate rufaa na ikishindikana nenda mahakamani, hakimu atahitaji ushahidi!
Kwanza nimekuambia kuwa maelezo yako kuwa ukipita sehemu ya zebra unakamatwa hata kama hakuna mtembea kwa miguu siyo kweli labda kama ume-over speed. Pili kesi ya kubambikiwa utajitetea kadri itakavyoendesha na ukishinda unaweza kudai fidia kwa taratibu zilizopo. Hivyo ni kweli safari yako itakuwa imevurugwa na hakuna namna.Kwani ukimkamata mtu ugoni huwa unawashikilia wabakie wamekumbatiana hadi mahakamani kuonesha ushahidi?
Mtu anasafari ya mkoa ukimbambikia kosa ambalo hakubaliani nalo unaposhikilia chombo hapo siyo sheria Bali ni kumkomoa, akija kushinda sheria inasemaje kumlipia muda wake na usumbufu huyo dereva?
Ndiyo maana nasisitiza sheria ya usalama ina mapungufu mengi tansy on mandamus a dereva