Hivi ni makosa watoto kumuona rais wao ajaye na utukufu mkubwa?
Sio kosa teh teh teh niaibu tu
Hivi ni makosa watoto kumuona rais wao ajaye na utukufu mkubwa?
hapa kazi tuuu.#Hapakazitu. Tunasubiri kumpotezea mtu baharini bila kuangalia kibla tarehe 25/10/2015!
Ndio maana wana finance baadhi ya magazeti na vituo vya TV na watangazaji - mara zote wanaweka chumvi nmo kwenye coverage/airtime zinazo husu viongozi wa UKAWA,sijui baada ya October watajificha wapi - maanake nguvu na resources wanazotumia kumpigia debe ni kubwa mno.Magufuli hawezi kushangiliwa NA mafisadi.hili lipo wazi.UKAWA ni umoja wa ufisadi.wanaogopa sana Magufuli.
Sio kosa teh teh teh niaibu tu
Moderator ondoeni huu uzushi kila mtu akiamua anaweza ufanya.
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!