asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Tupia kaclip
Numbers don't lie mumefinyangwa na gwiji la siasa Lowassa the coming presidaaHata wewe ukitenga Million Moja ya Viroba unapata Fuso kama kumi za Vijana wa kuzomea Jukumu lako ni kuwaambia tu wamzomee nani! Ccm imeshamaliza kazi, Mkapa, kinana na team nzima ya watu 32 wapo maeneo ya kimkakati kwa kazi moja tu 'kuinamisha' mtungi kumtoa Panya Mtungini. Jana nimemuona Mbowe ana akili kama za Lipumba kuamini eti ukimpigia kura Lowassa itahamia kwa Magufuli kwa hiyo mkimaliza kupiga kura mkunje karatasi maandishi yawe kwa nje! Dah! Kweli Jahazi likitoboka hata Nanga unaamini itakusaida kuelea Majini
Kila mtu anakunya we kaa na mavi kwa sikukama hujafunga utumbo wacha watu wanye bwana , lakini magufuli anaisoma namba Mwanza
mkuu hivi ulofa wa hawa jamaa unakabaliana nap kweli.Hata wewe ukitenga Million Moja ya Viroba unapata Fuso kama kumi za Vijana wa kuzomea Jukumu lako ni kuwaambia tu wamzomee nani! Ccm imeshamaliza kazi, Mkapa, kinana na team nzima ya watu 32 wapo maeneo ya kimkakati kwa kazi moja tu 'kuinamisha' mtungi kumtoa Panya Mtungini. Jana nimemuona Mbowe ana akili kama za Lipumba kuamini eti ukimpigia kura Lowassa itahamia kwa Magufuli kwa hiyo mkimaliza kupiga kura mkunje karatasi maandishi yawe kwa nje! Dah! Kweli Jahazi likitoboka hata Nanga unaamini itakusaida kuelea Majini
Mimi natabiri hivi: Kwa mara ya kwanza Tz itaingia katika duru ya pili ya uchaguzi. Oct25 hakuna mgombea atakayevuka au kufikia 50%.
Yupo bado kwenye helikopta?pole zako yericko,magufuli bado hajafika mwanza
Kushangiliwa na kuji nye....... Kipi bora????
Naona Mabasi Ya Zakaria,malori Yanapiga Shanting,bodaboda Wote Ni Bendera Za Ccm,pale Sahara Walikuwa Wanagawa Buku 5 Na Tisheti Na Unaandikwa Jina,sasa Sijui Kutakuwa Na Kusomwa Pale Uwanjani!?Ccm Kwakweli Kwa Mwanza Hali Ngumu
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!
Naona Mabasi Ya Zakaria,malori Yanapiga Shanting,bodaboda Wote Ni Bendera Za Ccm,pale Sahara Walikuwa Wanagawa Buku 5 Na Tisheti Na Unaandikwa Jina,sasa Sijui Kutakuwa Na Kusomwa Pale Uwanjani!?Ccm Kwakweli Kwa Mwanza Hali Ngumu
Numbers don't lie mumefinyangwa na gwiji la siasa Lowassa the coming presidaa
Pombe yupo Vingunguti kuanzia jioni ndo anakuwa Mwanza
Nimepokea taarifa muda huu kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli amekumbwa na zomeazomea jijini Mwanza!
Kama ni kweli hii siyo ishara njema kwa uchaguzi wetu mkuu ujao ambao umeambatana na matukio ya ajabu ajabu yanayosababisha simanzi!
Wadau naomba kutokana na msongo wa mambo ya simanzi yanayoukumba huu mchakato, basi tusiongeze majonzi kwa upande mmoja au mwingine wa wagombea! Tuvumiliane! Yatosha sasa!