Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Utajiju tatizo siku hizi mkitongonzwa kidogo tu ni ndiyo mzee,mtu hata hujamfahamu vizuri mnadanywa tu,tamaa za hela hizo.Kisasi cha nini sasa anza mbele,aliekuambia ulizaliwa na yeye ni nani?Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Huyu ni mwanaume
alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua
hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae
mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad
niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn
kwa nn amenijua.
Big up, nimeipenda hii
tumuenzi mzee Mandela katika suala Zima la KUSAMEHE.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.
Me alontenda nikatendeka hua ananipigia cm tunasalimia me nlikua nasema nkimnunia atajiona kaniweza ngoja niongee af ntafute mwanaume mwengine zaid yake nimkomoe lakini wapii naona nakomoka mimi yaani huaga kila akipiga cm nawaza nimfanyaje kumkomoa jibu sipat ana kitoto ananiambiaga nkamuone saitak hata kusogea nahic naeza kukadhuru buree ila ngoja tu ntakuja kujua cha kumfanya maana kila nikimuona nahisi ana rahaa tele wala hajawai jutia alichontenda basi nna duku duku balaa!
Utajiju tatizo siku hizi mkitongonzwa kidogo tu ni ndiyo mzee,mtu hata hujamfahamu vizuri mnadanywa tu,tamaa za hela hizo.Kisasi cha nini sasa anza mbele,aliekuambia ulizaliwa na yeye ni nani?
pole sana msamehe na move on with ur life. looh mi wa kwangu nakumbuka alinifanyia vituko na akaniacha vibaya nakumbuka kwa hasira nilimwambia hutakaa ushike mtoto wako maishani, looh last week kanitafuta kwa email ananiambia laana yangu imeshika maana mpk sasa hana mtoto na ameshaoa na ananiomba msamaha, mi nilishasau na hata nimeshaolewa na nina watoto. nimemsamehe na ninamuombea apate mtoto. hii midomo yetu ina power sana. mi sikujua kama laana imeshika.
Jichunguze mwenyewe mwanamke gani mwenye mihasira hivi? Tabia hii imemfanya akukimbie kama hujui!
Haiba ya kike ni upole, utu wema, uvumilivu, akili na maarifa bibi wee!
Tulizana rudisha smile kwenye uso wako, fanya kazi kwa bidii, boresha maisha yako uwe mwanamke mfano wa kuigwa! Atakuja tuu Mr. Right wako!
Huyu ni mwanaume alienisababisha niwe na chuki kwa wanaume wote.nilimpenda sn nikajua hapa nimepata kumbe si lolote.Namtafuta popote pale labda nisionane nae mpk nife lkn nikimwona lazima nilipe kisasi.nitamfanya chochote.ilimrad niridhike na yy aone uchungu.Nackia ameoa na ana mtoto.atakuja kujuta sn kwa nn amenijua.