Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,240
sasa nakushauri acha hii masturbation ndiyo inakupunguzia confidence mbele za watu.We jamaa mchawi iyo kitu huwa nagusa
sasa nakushauri acha hii masturbation ndiyo inakupunguzia confidence mbele za watu.We jamaa mchawi iyo kitu huwa nagusa

Okhata picha zina macho pia. kwahiyo ni sehemu mubashara kufanyia mazoezi.
ukiona hivyo anatumia sana pesa kuliko manenoKhe! Sasa unatongozaje we jamaa?
Siku hizi vijana wanasaidiwa sana na simu, anatongoza kwa cm wakikutana ni mgegedo tu mambo yote yalishamalizwa kwenye cmKhe! Sasa unatongozaje we jamaa?
duuh wewe ni kemhh ungenipa mie hiyo aibu maana mpaka nikiongea na wanaume huwa wanaangalia wao pembeni sijui kukwepesha jicho kwa yeyote na nahisi inaleta shida pia kwenye baadhi ya mambo. Chaaaaa hakuna lenye uafadhali kila kitu inatakiwa kiasi

nan kakwmbia huyu n bro?Hiyo safi sana Bro...utaepuka mengi sana Dunia hii ya leo,Nyuso za watu zimejaa nuksi Tu.