Siwezi kuangalia watu usoni...

Siwezi kuangalia watu usoni...

nlkuw km ww,,nlpt shida sana kfny presentation chuon lkn baadae nljua siri mtu haangaliw machon bali anaangaliw kwny paji la uso..,sa hz nafndsha vizr ten naonekn na confidence ya htr ila simwangalii mtu machon
 
Eye contact nazungumzia
siku ukijafanya interview hasa kwenye International orgniuzation ita ku cost, eye contact ni muhimu sana hasa kwa wezetu wazungu , inaonyesha uko makini na una confidence, ila kwa midle east ( mashariki ya kati) tabia yako itawavutia wengi sana maana utaonekana una stara au hijaba, na watu wanamna yako huko wanthaminiwa na kuhushimiwa sana, kwa hapa kwetu fanya mazoezi itaisha, jikasirishe na karipia mtu huku ukimtazama machoni, ni ngumu sana ila unaweza uki apply ka dharau kidogo
 
nunua picha kubwa za mademu,kisha weka ukutani geto kwako, kisha kila siku ziangalie direct kwenye macho, au unapoangalia taarifa ya habari mwangalie mtangazaji direct machoni, baada ya muda utazoea.
 
nunua picha kubwa za mademu,kisha weka ukutani geto kwako, kisha kila siku ziangalie direct kwenye macho, au unapoangalia taarifa ya habari mwangalie mtangazaji direct machoni, baada ya muda utazoea.
Duh! Mi nilidhani wenye matatizo haya huwa wanaogopa lugha ya macho kumbe hata picha tu? Picha hawaziogopi.
 
Duh! Mi nilidhani wenye matatizo haya huwa wanaogopa lugha ya macho kumbe hata picha tu? Picha hawaziogopi.
hata picha zina macho pia. kwahiyo ni sehemu mubashara kufanyia mazoezi.
 
Back
Top Bottom