Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

We hajui Tu simna fanyana mnaposubiria kuowana mwenzio hajakaa sawa kimaisha unamvumilia ajipange unampunguzia mizigo Sasa jamani mnataka tutafute hela tutafute mke tutafute Malaya wakupunguziana tamaa. Bado tuwape hela Malaya tusave kwaajili ya kesho. Tutafika kweli!!? Wanawake sisi wanaume sio wagumu kiasi hicho sisi tunahitaji ndoa zaidi hata ya nyinyi
Basi sawa tumewaelewa, tutakuwa tunaomba kidogo kidogo
 
Kibaya zaidi wewe sio wife material bali malaya material.
Kabla hujaolewa hudumiwa na wazazi wako, haya unayoyataka anastahili mwanamke aliyeolewa na yuko ndani kwangu na sio kwao akipiga mabomu wanaume 10.
ndo majibu yenu hayo
 
Punguza makasiriko basi hizi kauli hutoka kwa mwanamke ikiwa hujapenda ila ukipenda wala haitakua kikwazo na huwa mnaelewa situation kama zilivyo!

Tunapitia nyakati mbaya kama dunia ya tatu fursa za kazi ni ngumu. Umaskini umekithiri ajira hakuna unategemea nini? Wanaume wengi watazidi kuwa wabangaizaji wa maisha sababu wanatoka vyuoni wakiwa na ndoto za kutoboa kimaisha ila ajira hamna wanawake wengi ndio mna favor kwenye ajira sikuhizi hasa ukiwa mrembo na tako!
chura inaongea, cyo?.
 
Nimeongea, hii ina maana siko uko unakofikiria. Ndo mn nimesemea mwanaume tafuta ela ndio umfate mdada wa watu na sio kutwa kijiweni then untk wadada wa watu, mwsho wa siku uvitie mimba ukimbie mtaa. Maana uwezo wa kulea huna.

Kuuza mbususu wadada Ili wapate pesa kupitia wanaume, huo sio ujanja na wala si akili,. .. over
We call those "hoes" vp ni moral right kwako c ndio,, bas badilisha title from hyo uloweka to " i am a hoe"

No offense though

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni mapenzi aisee yaani mnapokosea mnavyo ilinganisha na pesa hiyo thamani yake hiyo inatakiwa ifidiwe na upendo kutoka kwa mwanaume
Hatulinganishi pesa na mapenzi bhn ww. Si tunasemea kujali kwako
 
Acheni upuuzi nyie, ngenya sio equivalent na pesa! Mkiitwa malaya mnakuja juu oh nyie si ni kama mama zenu blaah blaah!!!

Mama zetu wangekuwa na fikra za kichoko namna hii tusingekuwepo leo! Wengi wameuza mama ntilie na kupika pombe pindi washua walivyo lost kimaisha na bado K walitoa tukazaliwa mabaharia! Sasa nyie leo kitu kidogo tu mnataka kuzifanya Ngenya kama kitega uchumi, ni umalaya huo in another form. K umepewa ni ya uzazi sio biashara.
Timiza majukumu yako acha kelele
 
People kuna new hoe in town dau ni 300k nawashauri,,, mpe 30k kwa match ili ufaidike,,naona what anafanya kwa post yake ni justifying umalaya,,,, mods naomba muubadilishe uzi uitwe "justifying immorality"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom