Kuna Mme na mwanaume! Kuna mke na mwanamke!
Mimi kama mme wa mke wangu siwezi acha timiza wajibu wangu kama Mme na Baba wa familia!
Tatizo lenu mnapenda kujiweka kwamba ushakua mke wa mtu flani,wakati huo Mimi sijafika hata kwenu kukutolea mahali ili tuishi pamoja! Mimi bado ni boyfriend wako tu,sasa naweza vipi kujilipua hadi niwe natoa pesa za matumizi kwako wewe?? Nitatoa pesa, nitakununulia gari,nitajenga nyumba na nitakua na miradi mingi kwa ajiri ya familia yetu,sasa wewe ni girlfriend tu,unataka nikupe hadi mali ambazo wanapaswa kujua Baba na Mama yangu tu,subiri uolewe utapata vyote unavyotaka! Unataka pesa zangu kwani unauza papuchi?? Kama hamu naweza kwenda hata pale uwanja wa Fisi,Buguruni nikafanya acquisition ya demu,nikaenda kutoa hamu zangu!
Matokeo yake,mnakua mnapata wanaume ambao hawataki usumbufu,wanakua wanakula mbususu nakukaa pembeni,ukija shituka mda ushaenda,hakuna hata mtu ana time na wewe! Unaanza na kwenda kusali kwa kina Mama Rwakatale wakuombee upate Mme! Acheni kujipachika mambo mazito!