Pakome
JF-Expert Member
- Dec 8, 2024
- 1,541
- 916
Siwachukii Gen Z, sababu ya kutokutaka kuwaunga mkono ni kwasababu harakati zao zina viashiria vya kupoteza maisha
Napenda vijana waishi na sio wafe
Na hii ndiyo sababu ya kutokutaka kuwaunga mkono
Nikiwaunga mkono nitakuwa nimewatuma shimoni jambo ambalo litaniingiza kwenye kesi ya mauwaji
Kawaida mtu anayewatuma watu kwenye kifo ndiye muuwaji
Hata katika imani ya binadamu huwa muuaji ni yule anayetuma watu kwenye shimo na sio lile shimo liliwaua
Lakini vilevile nafahamu gharama ya jambo wanalolifanya inawezekana wao hawajui
Vilevile kuna udhaifu mkubwa sana wa kundi hili unaonifanya kamwe nisiamini kama wataweza mfano uvunjifu wa Katiba na Sheria jambo ambalo litawaongezea matatizo wanapokuwa wakitatua matatizo
Badala ya kumaliza matatizo matokeo yake wanakua wakiongeza matatizo
Napenda vijana waishi na sio wafe
Na hii ndiyo sababu ya kutokutaka kuwaunga mkono
Nikiwaunga mkono nitakuwa nimewatuma shimoni jambo ambalo litaniingiza kwenye kesi ya mauwaji
Kawaida mtu anayewatuma watu kwenye kifo ndiye muuwaji
Hata katika imani ya binadamu huwa muuaji ni yule anayetuma watu kwenye shimo na sio lile shimo liliwaua
Lakini vilevile nafahamu gharama ya jambo wanalolifanya inawezekana wao hawajui
Vilevile kuna udhaifu mkubwa sana wa kundi hili unaonifanya kamwe nisiamini kama wataweza mfano uvunjifu wa Katiba na Sheria jambo ambalo litawaongezea matatizo wanapokuwa wakitatua matatizo
Badala ya kumaliza matatizo matokeo yake wanakua wakiongeza matatizo