Baada ya Muda si mrefu Manzese itakuwa Kariakoo mpya.Serikali iangalie miundombinu yake kwa Makini.Maghorofa yanaota kwa fujo kama uyoga ila sijui kama pana hata maeneo ya ParkingKufukuzwa kwenye nyumba ya serikali hilo sawa kwa maana kwa sasa sio mtumishi wa serikali ila kuhamia Manzese duuuu!!!hata mimi na ukapuku wangu sikai.
manzese ya masaki,msifikiri ya changanyikeni hukuManzese ipi?
Manzese ipi?
akaishi kwake........au aende urambo aishi kwenye nyumba ya spika aliyojenga, kule hakuna bunge
Mkuu Manzese ni mtaa palepale masaki siyo kwa mfuga mbwa, ni jirani na alipohamishwa.Akishindwa kujiuzia kama wenzake acha akae hukohuko Manzese
Kule Urambo alijenga Ofisi Ndogo ya Spika sijui alikuwa anadhani kile cheo cha uspika alikuwa na hati milki ya hicho cheo. Ila sasa ni wakati wa kuendeleza Chama chake cha CCJ ambacho alikitelekeza.akaishi kwake........au aende urambo aishi kwenye nyumba ya spika aliyojenga, kule hakuna bunge
Hiyo manzese ni ya MasakiKaribu uswazi sitta