Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,777
- 11,259
Kumbuka huyu ni spika mstaafu anastahili kulipiwa/kutunzwa na serikali sasa wanamwambiaje aondoke bila kumpa makazi mengine?Kwani hiyo nayo ni habari? Ni nyumba ya serikali na yeye si mtumishi wa serikali apishe tu wapewe watumishi wengine wa serikali wanaostahili kupewa nyumba hiyo kwa mujibu wa sheria/ utaratibu.