huo ni utaratibu wewe haupo serikalini huwezi kulipiwa na serikali hata yeye sita anajua hivyo: hayo maneno yako yoote ni ya upuuziKama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?
Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango!
Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu
usiandike usicho kijua!Kama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?
Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango!
Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu
well saidHuyo ni ndumilakuwili wakimtimua ni sawa kabisa hata wananchi hatumtaki alituharibia katiba yetu
Hahaah zile za serikali huenda anazo nyingi tu. Kaamua aonje maisha ya uswazi kidogo.!Ina maana ye hakununua Nyumba hata moja zile za serekali...anyway karibu uswazi,kwa uzoefu wako wa kwenye siasa nadhani atatusaidia kukaa chini na madee na ney atusaidie mmoja wao amwachie mwenzie urais Wa manzese maana kila mmoja anajiita rais Wa pande hii
Nini nisichokijua na nini unachokijua wewe?usiandike usicho kijua!