Sitta atimuliwa nyumba ya Serikali

Sitta atimuliwa nyumba ya Serikali

Kama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?

Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango! Alikuwa analipiwa dola 8000 kwa mwaka. Amehamia Manzese!

Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu

Mwishoni wa dhambi ni mauti mkuu.
 
wamemuhamisha kwa speed and standard
 
Kama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?

Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango! Alikuwa analipiwa dola 8000 kwa mwaka. Amehamia Manzese!

Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu
Kama chadema walichomfanyia Slaa,
Alipigwa mabomu hadi kuvunjwa mikono lkn muda ulipofika gia zikabadilishwa angani.

Na chama kuuziwa lowasa kwa billion 10!!!
 
Nahisi watanzania tutakuwa na tatizo kubwa zaidi, yaani mtu anataka tutumie pesa za serikali kulipa fadhila mtu ambaye alitekeleza majukumu yake na kulipwa kwa wakati huo.
 
Endeleeni kumponda mzee Sitta ila msisahau kuwa JPM anapitia JF kama mwongozo wake maalumu. Akiziona comments zenu atashtuka kumbe aliwatwanga! Msijeshangaa akipewa bonge la post.
Nimecheka sana hii umeandika
 
Nahisi watanzania tutakuwa na tatizo kubwa zaidi, yaani mtu anataka tutumie pesa za serikali kulipa fadhila mtu ambaye alitekeleza majukumu yake na kulipwa kwa wakati huo.

Uko sahihi mkuu...mimi naona kuwa serikali ya CCM ilikosea sana kuendelea kumlipia na kumkalisha mtu kwenye nyumba ya serikali pasivyo stahili.....Sitta na wengine watambue kuwa hii nchi ni yetu sote na haki ni muhimu kutendeka kwa wote
 
Mtoa uzi mbona unashangaza, sasa uendelee kubaki kwenye nyumba ya serikali wakati si mtumishi wa serikali?, ndio maana Lowasa kawabamba kirahisi.
 
karibu manzese tip top family,huku kwetu mateja kibao si uende urambo ukalime kwani lazima kukaa dar
 
Ingawa nimefurahishwa na kutimuliwa kwake lakini najiuliza hio Nyumba aliokua analipiwa dola 8000 kwa mwaka ikoje. Kuna mh mmoja mpaka leo anakaa kwenye nyumba anayolipiwa na serikali dola 4000 kila mwezi. Mzee 6 huu ni muda wa kuishi kama shetani sasa
 
1. Kama kahamia sehemu duni baada ya kukaa madarakani miaka mingi tafsiri yake ni kuwa kwa kipindi alichokuwa madarakani hakujilimbikizia mali.

2. Hapahapa JF kulikuwa na thread ya kuhusu jumba la kifahari la mh. Samwel Sitta. Pia kumekuwa na thread za kuelezea kuwa Sitta ni mtu fisadi mwenye pesa nyingi. Mfano ni thread hii Ufisadi wa Samweli Sitta umevuka viwango na kasi

Sasa leo anapotokea mtu akasema Sitta ni hohe hahe, inakuwa ni siasa uchwara tu. Mtu akigombea urais anaitwa fisadi, uchaguzi ukiisha huyohuyo anaitwa hana pa kuishi!

Kwa picha za nyumba ambayo ilisambazwa kwenye mitandao kuwa inamilikiwa na mh. Samwel Sitta, fungua hapa 3 PICHAZ: Huu Ndio Mjengo Anaomiliki Mheshimiwa SAMWEL SITTA! - Kandili Yetu [KY]
 
Kama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?

Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango! Alikuwa analipiwa dola 8000 kwa mwaka. Amehamia Manzese!

Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu


Nafikiri kuna tofauti kati ya Manzese na Mtaa wa Manzese, isitoshe Sita ana bonge la Villa Bunju/Mbweni!!
 
Siioni hoja ya msingi hapa.mwanzo alikuwa mtumishi wa serikali na kwa sasa si mtumishi wa serikali.ni halali yake kuwapisha wengine.hayo mengine kama atajutia ni yake binafsi na chama chake sisi kama wananchi na serikali hayatuhusu.
 
mlitaka alipiwe mpaka kufa kwake??kwani yeye ni mtumishi wa serikali??
ninachokiona mimi mtoa mada ni mnafiki tu,ni muendelezo uleule wa kwanini huyu amewekwa pembeni wakati alifanya kitu fulani kwa chama,ni upuuzi kila kitu kufikiria kwa mlengo huo.
mlimsema mwampamba kwanini hakuchaguliwa kuwa DC na mkasema ajitafakari kachaguliwa position nyingine bado mkawa mnasema vyeo vya kupeana,stori zenu ni zilezile hamna jipya hapo,katimuliwa kwa sababu sio mtumishi wa serikali,anawapisha wengine.
 
Kama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?

Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango! Alikuwa analipiwa dola 8000 kwa mwaka. Amehamia Manzese!

Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu
Kuna Leo na kesho! Acha wajue kuwa inatakiwa tuwatumikie wananchi na si chama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom