Sitta atimuliwa nyumba ya Serikali

Sitta atimuliwa nyumba ya Serikali

Kikwete alipostaafu alienda kuishi kwake Msoga.

Sumaye alienda kuishi kwake Kiluvya.
 
Acheni umbeya, yaani unaleta habari kiongo kiongo kwa uzushi ili upotoshe ukweli. Yaani kizazi hiki ni majanga.
 
Wewe acha ushabiki na upotoshaji usio na maana, kwa taarifa yako Sitta anaishi Kimara- DSM huko ndiko yaliko makazi yake binafsi ambapo ana jumba LA kifahari muda mrefu sasa. tujadiri hoja za msingi na sio upuuzi huu.
 
Masaki kuna eneo linaitwa Manzese,zamani kulikuwa na vibanda vya mama ntilie wengi, hapo ndio kuna nyumba ya Sitta ya siku nyingi sana.
 
Kama unadhani Ccm wana shukurani umekosea sana. Hivi unajua Ccm walivyomtumia kuchakachua maoni ya wananchi ktk bunge la katiba? Unakumbuka madai kwamba marehemu walipiga kura akiwemo mamake Zitto? Unakumbuka alitumia kila njia mpaka mahujaji waliokuwa Saudia walipiga kura?

Sasa angalia mshahara wake, ametimuliwa nyumba ya serikali baada ya serikali kukataa kumlipia pango! Alikuwa analipiwa dola 8000 kwa mwaka. Amehamia Manzese!

Chanzo: Majira
CC: Dr Tulia, Makonda na IGP Mangu

Manzese ni Mtaa huko masaki dogo, pia Sita ni senior katika serikali kabla hata wazazi wako hawajazaliwa manake mshahara wake ni wajuu kama mpaka sasa hajaweza kujenga nyumba ya kuishi yeye na familia yake mjini itakuwa ni matusi na bado anapata mshahara 80% ya spika wa sasa then mnataka vijana wajikwamue kwa kuuza maji ya kandoro itakuwa ngumu sana.

Ndio maana tunawahimiza mchunge sana hawa waliokuwa na madaraka makubwa na bado hawataki kutoka katika siasa wao siasa ni ujasiriamali ni fursa sio tu ya kupata madaraka bali kuendelea kuhudumiwa na serikali. Haiingii akilini mtu alishakuwa spika au waziri mkuu yuko radhi achaguliwe tena kuwa mwenyekiti wa kijiji?
 
6? Hivi huyu mzee kwanini alikua bado anaishi kwenye nyumba ya serikali ili hali anajua ye sio mtumishi wa serikali?
 
Mbona huyu alikodi basi la kisasa sana kwenye kampeni? Kwa hiyo hana nyumba dar? Hata hivyo si sahihi kwa serikali kuendelea kumlipia.
 
Acheni umbeya, yaani unaleta habari kiongo kiongo kwa uzushi ili upotoshe ukweli. Yaani kizazi hiki ni majanga.
Ukweli ni upi? Uweke hapa tuujue basi
 
Sitta huyuhuyu niliye naye jirani huku Bunju karibu na kwa Slaa anayemiliki mjengo wa Bilioni na ushee??? Maana mjengo wake niliufanyia tathimini unavuka 1.4 billion Tshs.
Labda kukaa Bunju atavimisi viwanja ndo maana baada ya kutimuliwa Masaki kaenda Manzese ila Sitta ana nyumba la haja Bunju, Dodoma ana mjengo, Tabora mjini ana hoteli, Urambo ana mjengo wa kuishi na ile ofisi yake ya visenti milioni 500 kaweka mameneja wa kusimamia miradi yake.

Hivi kuchukua basi la kampuni na kulifanya apartment kisha kutembea nalo mwezi mzima nchini kusaka wadhamini unadhani ni visenti vidogo?
 
Wewe acha ushabiki na upotoshaji usio na maana, kwa taarifa yako Sitta anaishi Kimara- DSM huko ndiko yaliko makazi yake binafsi ambapo ana jumba LA kifahari muda mrefu sasa. tujadiri hoja za msingi na sio upuuzi huu.
Kimara alishahamaga na nyumba akapangisha akaenda Bunju. Masaki ana kanyumba kadogo tu! Nenda Bunju
 
Kapuku aliyebaki hohehahe ingawa na yeye kule Mtera ana nyumba nzuri ni Malecela! Huyu nadhani na umatonya umechangia ndo maana kale kaghofu alikoacha mjini kaamua kumpa lemutuz ambako naye kwa kiathiriwa na umatonya anajiona kamaliza!
 
Akishindwa kujiuzia kama wenzake acha akae hukohuko Manzese
 
Sikumbuki kama kuna mtu aliitumikia CCM kisha mwisho wake ukawa mwema, hakuna au pengine sikumbuki. tukiwataja hapa ni wengi sana niliwahi kuwa na ndugu yangu miaka hio alikua kada kindakindaki wa CCM, aaagh alipoanza kuumwa alitimuliwa Dodoa, akawa demoted kisha akafia nyumbani peke yake hadi leo hii familia imesamabaratika. CCM sina hamu nao
 
Kama ametimuliwa kwenye nyumba ya Serikali ni sawa kabisa.Yeye si mtumishi kwa sasa.Na tena wamechelewa,na wawatimue wengine waliojenga himaya kwenye nyumba za umma bila ya kazi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom