- Thread starter
- #81
nibadilike rangi ama?Tatizo sio wanaume na wala hauna gundu tatizo kuu ni wewe ukijitahidi kubadilika utapata mwanaume uwe na usiku mwema
nibadilike rangi ama?Tatizo sio wanaume na wala hauna gundu tatizo kuu ni wewe ukijitahidi kubadilika utapata mwanaume uwe na usiku mwema
haifai kwangu tu ila ukija nayo wewe inafaa,ryt???Attitude km hii ndio isiyofaa...
Mwanamke kama hatongozwi jua huyo hawavutii wanaume. kiufupi hana shepu nzuri.Dunia yaleo amekosa wa kumtongoza!!!!
Angesema wanaomtongoza hawakidhi vigezo vyake....ningemuelewa.
we differ,when u know yo potentials kwann usi brag,am haya btw
Uko selective sana. Uko ant social sana. Sio kila mtu alie social hafai au sio kila mtu alie kwenye mitandao ya simu hafai. Jaribu kuondoa mawazo yako na uwe neutral then uone kama hutatongozwa mpaka uwakimbie.kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
prolly God is protecting me from peeps like u,umezalisha ukaacha au nilete file lako,peeps wanaoharibu potentials za byuriful galsIf u had potentials usingekuja kulalamika hapa wadau hawakuoni mtaani
abdallah u be here speaking dirty about me yet unaslide in my PM,reallyMwanamke kama hatongozwi jua huyo hawavutii wanaume. kiufupi hana shepu nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaoenda huko watakuwa hawajielewi ..MTU hawavutii wanaume mpaka wanapishana nae barabarani bila hata kugeuka ..hivi mwanamke mwenye mvuto hujaona anatongozwa hata kwenye daladala?
Endelea kuchagua wakati unaitumia hiyo mitandao kutafuta faraja.sipendagi wa kwenye mitandao mimi
kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
Unakosea KUCHAGUAnisaidieni kivingine,ushauri,maoni,anything else. Sio kwamba nimeleta hii topic ili nipewe mwanaume NO,natak tu nijue wapi nakosea
should i disclose you,,,oh naogopa ban, btw napenda sinaga tatizo keep insultingWanaoenda huko watakuwa hawajielewi ..MTU hawavutii wanaume mpaka wanapishana nae barabarani bila hata kugeuka ..hivi mwanamke mwenye mvuto hujaona anatongozwa hata kwenye daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe ndy majibu yako?bas tatzo ni hilosipendagi watu wa mitandaoni
Hebu fafanua. Umewahi ku fuc.k na mwanaume? Au bado unatunza bikra.thats nat true,am fuckin pretty and i know it ndomana am asking whats wrong with me
prolly God is protecting me from peeps like u,umezalisha ukaacha au nilete file lako,peeps wanaoharibu potentials za byuriful gals