Sitongozwi, nini tatizo?

Sitongozwi, nini tatizo?

kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
Uko selective sana. Uko ant social sana. Sio kila mtu alie social hafai au sio kila mtu alie kwenye mitandao ya simu hafai. Jaribu kuondoa mawazo yako na uwe neutral then uone kama hutatongozwa mpaka uwakimbie.

Life is like that. Huwezi kutengeneza ka dunia kako peke yako. Lazima u move na dunia inavotaka. Mpaka akina Trump na Bill gates wapo kwenye social media. Ww ni nani uichukie mitandao ya kijamii. Ukiwa hivo kila mtu atakuogopa. Utaonekana sio wa kawaida.

Wanaume wa ukweli tupo. Tunasimamisha mpaka tunakosa wanawake, iweje ww usitongozwe. Hata yesu alikuwa anajichanganya kwenye mikusanyiko ya watu wote na alikuwa anaongea na watu wa kila aina kama vile , watoza ushuru kama akina lazaro, makahaba wa aina mbali mbali, wezi, wafarisayo, vipofu, viwete , vichaa nk nk.

Kwa hiyo jichanganye. Move with the world, usibaki nyuma sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
If u had potentials usingekuja kulalamika hapa wadau hawakuoni mtaani
prolly God is protecting me from peeps like u,umezalisha ukaacha au nilete file lako,peeps wanaoharibu potentials za byuriful gals
 
sipendagi wa kwenye mitandao mimi
Endelea kuchagua wakati unaitumia hiyo mitandao kutafuta faraja.

Kwanini hukuandika bango ukakaa barabarani ili uwapate wa barabarani.

Wanaume ni wachache adimu na adhimu. Uwe makini utakosa hata wa kukukojoza. Achilia mbali wa kukuoa.

Maana hao wanaume wachache wapo waliooa. Wenye stress. Wasiopenda wanawake. Wasio na nguvu za kiume nk. Hivyo wigo wa mwanamke kumpata ampendaye ni mdogo sana.

Labda nenda kanisani ukakutane na wanaosali kama wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.

Jifunze kutoka kwa Alicia Keys

 
Jaribu kuchunguza kauli zako pindi unapozungumza labda ndio kikwazo ambacho wanaume wanakuogopa na hawakutongozi......
 
Ukinata saaana, watu hawatakagi shida ya mawazo,... Wanapambana na hali zao! I know you know mademu wako kibao saaana... Punguza maneno na dharau labda!
 
Hawa ndugu zetu sijui tuwaelewe vipi

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
prolly God is protecting me from peeps like u,umezalisha ukaacha au nilete file lako,peeps wanaoharibu potentials za byuriful gals

Nitafurahi ukileta file langu....
 
Back
Top Bottom