Sitongozwi, nini tatizo?

Sitongozwi, nini tatizo?

sijaleta tangazo KUTAKA mwanaume rather ushauri,gat me???
Mimi sina ushauri,ila ninahitaji kua na wewe,ili uwe na confidence zaidi ya ulizonazo kwasasa,hata hivo sisi wanaume tunapenda mwanamke ambaye anajiamini kwa wanawake wenzake ila siyo kwa mwanaume..angalizo kama unaweza kunijibu kwa sauti ya juu mbele ya wanaume wenzangu au wanawake wenzako tafadhari sana usinikubali...
 
kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.
Tatizo noti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kichwa cha topic kinajieleza,ni mzuri najijua though si wa kutisha,nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo,am dark skin,sio mrefu ila nmempita urefu lulu michael kidogo. Shida ni nini? yes am overconfident,ila sidhani hiyo ni sababu. Am smart kichwan hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea??? Nakubali me ni antisocial. ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back,now nimeacha. And am just 23,whats wrong with me????
Nikaoge baharini au?
Em nifarijini guys,hata mkinitusi poa me sinaga noma.

Kwa kawaida au mara nyingi mwanamke umtongoza mwanaume kwa kutumia ishara (body language) [kwa wanaojua mpira wa miguu, ni kuwa mwanamke anatoa pasi ya mpira, mwanaume anafunga ila kuna wakati mwingine mwanaume ataiomba pasi, ila ukiwa kwenye mkao wa kutoa hiyo pasi]. Swali, inakuwaje? Jibu, inakuwa kama ifuatavyo:
  • mwanaume ambaye unaona anakufaa ukikutana nae popote pale mkitazamana onesha tabasamu kwa mbali halafu unalichanganya na aibu kidogo,
  • kama mmekaa sehemu basi mwangalie mwangalie mara nyingi lakini kwa staha na ustaarabu,
  • weka sura yako laini muda wote ambapo unaona kuna chaguo lako; sura laini maanake inayoonesha uchangamfu mwilini au isie kama ya mgonjwa au umemeza dawa chungu,
  • kama unafanya kazi ya kuhudumia wateja, basi ikitokea kuna mteja ameingia kwenye orodha yako ya vigezo, basi uwe mchangamfu kuliko ulivyoelekezwa na ofisi yenu,
  • jitahidi muda wote kuwa wewe kama wewe muda wote hasa unapokuwa karibu na wawindwaji,
  • muulize mwanaume unayemlenga maswali hata ambayo obvious kabisa, mfano, ukiwa eneo la Kanisani unauliza ofisi ya katekista!! Au hivi ofisini kwenu huwa mna likizo ya X-mass?
  • ukikaa kwenye workshop kama viti viko karibu karibu basi kaa karibu na target yako, halafu jitahidi ukae kwa namna waweza kumgusa kidogo ili a-feel kwa mbali hip yako kwa kama dakika moja halafu ondoa hip yako,
  • omba msaada kutoka kwa target yako hata kama unaweza kufanya jambo hilo, halafu wakati unaelekezwa onesha kuwa unaelewa vizuri halafu badala ya kufuata demonstration wewe mwangalie usoni
Nina orodha ndefu sana kutokana na uzoefu wangu, ila sijakuelewa vizuri, unataka kutongozwa au kuolewa? Kama kutongozwa na kupewa dose kwa maelekezo hayo machache juu homa yako lazima itashuka tu.
 
Back
Top Bottom