Sitongozwi, nini tatizo?

Sitongozwi, nini tatizo?

Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Ni pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Sema mtaa ulipo nije nikufanyie tathmini. Bado umri unarusu so usiwe na hofu wapo wakutosha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itafika mahali utasema sifa ya mwanaume unayemtaka awe anavaa suruali basi
 
Last night I had a dream of you... Then I woke up screaming
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.

🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kila tabia uliyonayo ifanye iwe kiasi.
Anything too much......
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Je una tabia hizi....?

1. Sehemu kubwa ya Mavazi yako imetawaliwa na Suruali (jeans).

2. Kifua chako kimebebwa na Maziwa makubwa.

3. Unapo kuwa na kampani ya Mwa/wanaume 30% ya mazungumzo yako unachanganya na lugha ya Kingereza.

4. Vipi muonekano wako maeneo ya Usoni pamoja na Kichwani, je..? wewe ni Mpenzi wa Makeups (Mapoda mengi pamoja na Rangi za Midomoni) au ni shabiki wa Manywele (Rasta) bandia...!?

Uzuri na vigezo vya kutongozwa, wanaume pia tuna machaguo yetu...

Kama unajiamini, ebu tupia picha yako tuijadili, maana nimekushangaa kidogo, kujifananisha na Lulu...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Njoo PM mtu muafaka umempata, mapenzi moto moto!
 
huyu mwanamke ni mjuaji sana,hakika atakufa na bikira yake!
 
Kichwa chatopic kinajieleza, ni mzuri najijua though si wa kutisha, nina kishuzi ila kimezidiwa na tuhips kidogo, am dark skin, sio mrefu ila nimempita urefu Lulu Michael kidogo. Shida ni nini?

Yes am overconfident, ila sidhani hiyo ni sababu, Am smart kichwani hadi mwilini. Shida ni nini? Au ninavosali kumpata mume atakaempendeza bwana kuna sehemu nakosea?

Nakubali mimi ni antisocial ila sidhani hiyo ni sababu. Yes i was selective ila zamani sana kama 2 years back, now nimeacha. And am just 23, whats wrong with me? Nikaoge baharini au?

Embu nifarijini guys.
Ni pm nikupe siri mrembo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom