Sitongozwi, nini tatizo?

Kama uko 23yrs na hutongozwi usipate tabu pitia maeneo ya jeshini

Wale jamaa hata uwe huna sura wao hawaachi kitu


Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wazur n smart sometime wanaume tunawa over rate,yaan tunaona "huyu hawez kosa bwana" n mi nkienda najisumbua tuu..so jarib haya..1.usipendeze saaana,kua wastan..2.usinune,meaning usionyeshe sura ya kaz mda wote,.maana kuna wadada wanakuaga serious sana had unamwogopa..3..penda kutoka,have fun,sio ujifungie tu ndan..4..ukiongea na mtu jib kwa upole,be humble,b a woman,onyesha uoga uoga flan hata kama si kwel..
 
sipendagi watu wa mitandaoni
Dada mbona haueleweki umeweka bango mwenyewe afu unasema haupendi wa mitandaoni what if ukute mie wa mtandaoni ndiyo muumini mwenzio kanisani na jirani yako pia hapo nyumbani?

Afu kingine kama wewe ni antisocial ina maana sio mtu wa kujichanganya kwa taarifa tu ukiendelea kwa style hii utatongoza na kijana wenu kwa kazi hapo kwenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twendelee kuchart watsap huu Uzi wambie mods waufunge hata mi nilikuwa sijampata wa kumtongoza asante mungu amekulata mda muafaka

sending using jamiiforum makinikia
 
Binti.
Kwanza kioo kinadanganya ujue coz uko over confident ukajiona mzuri sana kumbe sio.
Pili nakuona ni msichana mwenye maringo kutokana na maandishi yako unavyo yaweka.
Tatu unaonekana ni "miss know everything" wanaume huwakimbia wasichana wa namna hii.

Badilika, wanaume hawaangalii sura na shepu labda kama unataka "hit and run"
 
Just relax... Kutongozwa sio issue as long as you know what you want.. Have a standard and let someone of value come and make life with yu!!
 
tehe tehe tehe Mungu amesikia kilio chako maana unaenda kutongozwa sasa hadi utaomba POOOOOOOOO
 
Tubadilishane mimi umri sio haba sana, ila sasa hivi vitoto vikimaliza tu chuo na kupata kakazi au ka boom ooohhh madam i love youu. Najiuliza ni huu mwili mdogo au baby face
au nna mambo ya kitoto wananiona size yao?

Kipaji hiki anacho zarina na Bi Khadija mke mkubwa wa mtume S. A. W
 
unajua sio boys wote wanaweza kuku seduce faster faster bila kujua una reflect vp vile uki meet nae or ukiwa una talk nae,
sometimes hua tuna itaji ww mwenyewe utu boost cc tuku seduce...
just
be simple
mpe nafas azungumze
usioneshe zarau zarau

jus be simple but ucjitongozeshe...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…