Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,326
- 4,787
Husika na maneno yaliyo kwenye headin, si maneno yangu, bali ni maneno ya Kibaka-Mwizi aliyemuibia Mwl.
Pamoja na tambo zake hapa jamvini kwamba ni mkwasi , na ni mshefa vyanzo vyetu vime clarify Bishanga ni Ticha wa Primary moja around Dar es salaam's outskirts.
Hivi majuzi kati akiwa kwenye daladala lililosheheni nyomi pomoni, Kibaka (jina kapuni) alimchomolea walet Bishanga.
Aliyokutana nayo kwenye wallet kibaka huyo!
Ndiyo kauli aliyoitoa kunako headin !
Alikutana na wingi wa mapepa kadha wa kadha, baadhi vikiwa :-
> Vijikaratasi lukuki vya majina ya wanafunzi wapiga kelele class, vilivyoandikwa na mamonita wa madarasa tofautitofauti.
> Makaratasi yenye majina ya mastudent waliochelewa namba!
> Majina ya wanafunzi waliokopa ubuyu na bagia! (note hii ni biashara ya The secretary)
> Makaratasi yenye majina ya wanaomdai!
> Kadi za mualiko kwenye mkesha wa mwenge za mwaka 2010!
> Salary slip ambazo zilisoma hakuna alipo pokea mshahara kamili , zote alikatwa advance! > Makaratasi ya samansi mahakamani.
> Kadi ya kupigia kura, kadi ya uanachama chama cha walimu, na vyeti kadhaa vya hospitali.
Aidha kwenye wallet kulikua na bic mbili, ya bluu nyekundu , na kipande nusu cha chaki, na noti pekee ya sh 500 iliyokua imechoka.
Pamoja na tambo zake hapa jamvini kwamba ni mkwasi , na ni mshefa vyanzo vyetu vime clarify Bishanga ni Ticha wa Primary moja around Dar es salaam's outskirts.
Hivi majuzi kati akiwa kwenye daladala lililosheheni nyomi pomoni, Kibaka (jina kapuni) alimchomolea walet Bishanga.
Aliyokutana nayo kwenye wallet kibaka huyo!
Ndiyo kauli aliyoitoa kunako headin !
Alikutana na wingi wa mapepa kadha wa kadha, baadhi vikiwa :-
> Vijikaratasi lukuki vya majina ya wanafunzi wapiga kelele class, vilivyoandikwa na mamonita wa madarasa tofautitofauti.
> Makaratasi yenye majina ya mastudent waliochelewa namba!
> Majina ya wanafunzi waliokopa ubuyu na bagia! (note hii ni biashara ya The secretary)
> Makaratasi yenye majina ya wanaomdai!
> Kadi za mualiko kwenye mkesha wa mwenge za mwaka 2010!
> Salary slip ambazo zilisoma hakuna alipo pokea mshahara kamili , zote alikatwa advance! > Makaratasi ya samansi mahakamani.
> Kadi ya kupigia kura, kadi ya uanachama chama cha walimu, na vyeti kadhaa vya hospitali.
Aidha kwenye wallet kulikua na bic mbili, ya bluu nyekundu , na kipande nusu cha chaki, na noti pekee ya sh 500 iliyokua imechoka.
Last edited by a moderator: