nawapa copy hawa walau wapunguze vilimilimi
1. Nicas Mtei (Mkwe naye anamwonea wivu mkwe wake, loh)
2. Arushaone (sina uhusiano wowote naye yaana hatujuani)
3. Erickb52 (kijana mdogo anataka mambo ya kikubwa, loh)
4. @watu8 ( ni bendara tu kufuata upepo)
5. Bishanga (hayakuhuuuu)
wale mashosti nawamezea kwanza yaani nawaweka kiporo.
duh mpaka Bishanga nae yumo
wasamehe tuu hao na namshangaa mpaka ndugu yangu Nicas Mtei nae yumo
Ila kwa akina Arushaone na Erickb52 hiyo ni kawaida yao aise hawaishiwi majungu
wasamehe tuu
Rist ya ATM inayoonesha salio 0:00 haikuwemo mkuu?